Hawa hapa mastaa 10 wa kutazamwa zaidi Olimpiki 2024

MICHEZO ya Olimpiki ya Paris 2024 inatazamiwa kuanza Ijumaa hii huko Ufaransa kwa kushirikisha wachezaji 10,500 kutoka mataifa 206, Tanzania ikiwa ni miongoni mwao. Katika mashindano hayo, kutakuwa na michezo 32 na Tanzania itashiriki katika michezo mitatu ya riadha, kuogelea na judo. Garbriel Geay, Jackline Sakilu, Alphonce Simbu na Magdalena Shauri watashiriki marathoni, Collins Saliboko,…

Read More

TACAIDS yapongezwa kwa malengo yanayotekelezeka ya kumaliza UKIMWI ifikapo 2030

Na Nadhifa Omary, TACAIDS Kamisheni ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) imepongeza Menejimenti ya Tume hiyo  kwa kujiwekea malengo yanayotekelezeka yenye lengo la kumaliza UKIMWI ifikapo mwaka 2030. Akizungumza Julai 22,2024 jijini Dar es Salaam katika Kikao cha 57 cha Kamisheni, Mwenyekiti wa Kamisheni hiyo, Dk. Hedwiga Swai, alieleza kuridhishwa na utendaji wa TACAIDS…

Read More

Yanga yamalizana na kiungo Dodoma

KUELEKEA msimu ujao Yanga Princess imekamilisha usajili wa kiungo Agness Pallangyo kutoka Fountain Gate Princess. Inaelezwa Yanga baada ya kukwama kwenye dili la kiungo wa JKT Queens, Amina Bilal ikamuibukia Agnes ambaye amemaliza mkataba wake kikosini. Chanzo kimeiambia Mwanaspoti kuwa mchezaji huyo amepewa mkataba wa miaka miwili kukitumikia kikosi hicho. “Ni mchezaji mzuri na kwa…

Read More

Waziri Aweso aanza ziara ya Morogoro

Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso leo July 23, 2024 amewasili Mkoani Morogoro kwa ajili ya kuanza ziara yake ya Siku moja ya kukagua na kufuatilia hali ya huduma ya upatikanaji wa Maji katika Mji wa Morogoro. . . . . . The post Waziri Aweso aanza ziara ya Morogoro first appeared on Millard Ayo.

Read More