Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
Habari

Tanzania yajiweka mahala pazuri katika utekelezaji wa mkataba IOMOU

August 31, 2024 Admin

TASAC yaweka mikakati katika usimamizi wa utekelezaji wa mkataba kwenda katika uchumi wa Bluu Na Chalila Kibuda,Michuzi TV  Imeelezwa kuwa Tanzania imeweza kutekeleza hati ya

Read More
Habari

RUVUMA WAJADILI UZALISHAJI WA ZAO LA SOYA NA AFYA YA UDONGO

August 31, 2024 Admin

    Wadau wa kilimo, wakulima, na wataalam wa upimaji wa udongo kutoka Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) wamefanya kikao  cha kujadili uzalishaji

Read More
Habari

MATI SUPER BRANDS LTD YAPEWA TUZO MAALUMU NA CHUO CHA UKAMANDA NA UNADHIMU (CSC) CHA JWTZ

August 31, 2024 Admin

Na Cathbert Kajuna – Kajunason/MMG. Kampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi yenye makao yake Makuu Mjini Babati Mkoani Manyara imepewa tuzo ya

Read More
Habari

Maagizo ya Mkuu wa Wilaya Serengeti yatekelezwa

August 31, 2024 Admin

Na Malima Lubasha, Serengeti MAAGIZO aliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti,Kemirembe Lwota kwa uongozi wa Kijiji cha Nyami huru kilicho Kata ya Busawe ya

Read More
Habari

Mh.Sillo awajulia hali majeruhi wa ajali mkoani Manyara

August 31, 2024 Admin

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe Daniel Sillo amesema Serikali itaendelea kuwachukulia hatua za Kisheria madereva wote wasiotii na wanaokiuka sheria za

Read More
Habari

NAIBU WAZIRI KAPINGA AMPONGEZA SPIKA WA BUNGE KUANDAA MASHINDANO YA KUPIKA KWA GESI YA ORYX MBEYA – MWANAHARAKATI MZALENDO

August 31, 2024 Admin

NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga amempongeza Spika wa Bunge Dk.Tulia Ackson kwa kuandaa mashindano ya kupika kwa gesi ya Oryx kwa kushirikisha Mama na

Read More
Habari

Waliositisha masomo kwa ujauzito wasimulia machungu

August 31, 2024 Admin

Mwanza. Wasichana waliositisha elimu katika ngazi mbalimbali mkoani hapa, wameelezea changamoto wanazopitia ikiwemo unyanyapaa, kufukuzwa na kutolewa lugha chafu na ndugu zao. Hata hivyo, wanafunzi hao

Read More
Habari

Mambo matatu kutawala kikao cha Kamati Kuu CCM kesho

August 31, 2024 Admin

Dar es Salaam. Hali ya kisiasa nchini na uteuzi wa mgombea ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki na maandalizi wa mkutano mkuu maalumu, ni miongoni

Read More
Habari

PIGA MSHINDO LEO KWA KUBASHIRI NA MERIDIANBET

August 31, 2024 Admin

HUTAKIWI kupata mawazo unapata wapi pesa wikiendi hii kwakua mabingwa wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wako kuhakikisha wikiendi yako inakua ya kibabe, Kwani

Read More
Habari

TMDA yanasa vifaatiba, dawa bandia

August 31, 2024 Admin

Tabora. Mamlaka ya Dawa na Vifaatiba nchini (TMDA) Kanda ya Magharibi,  imefanikiwa kukamata dawa na vifaa tiba ambavyo havijasajiliwa vyenye thamani zaidi ya Sh150  katika

Read More

Posts pagination

1 2 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.