Getrude Mongella awaasa vijana waliotupa maadili, uzalendo

Dar es Salaam. Ili kuenzi kazi aliyoifanya muasisi wa Taifa la Tanganyika na Zanzibar, Hayati Mwalimu Julius Nyerere imeshauriwa kiandikwe kitabu, kitakachokuwa na mwongozo kwa vijana kujua misingi ya uzalendo kwa nchi yao. Hayo yamesemwa na Rais wa kwanza wa Bunge la Afrika na mwanaharakati wa haki za wanawake nchini, Balozi Getrude Mongella leo Agosti…

Read More

WASHINDI WA TUZO ZA TFF 2024 HAWA HAPA

  Ley Matampi (Coastal Union) – Kipa Bora Ligi Kuu Wanaume Tanzania bara. Djigui Diarra (Yanga SC) – Golikipa bora Kombe la Shirikisho la CRDB Caroline (Simba Queens) – Golikipa bora wa Ligi Kuu ya Wanawake. Azizi Ki (Yanga SC) – Mfungaji bora Ligi kuu Wanaume Tanzania bara (Magoli – 21). Clement Mzize (Yanga SC)…

Read More

Treni ya SGR yabuma tena Morogoro

WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan leo Alhamisi akizindua rasmi huduma za usafiri wa reli ya kisasa (SGR), treni iliyokuwa imebeba wageni walioshiriki uzinduzi huo wakiwamo mabalozi na abiria kutokea mkoani Dodoma, imepata tena hitilafu karibu na Stesheni ya Morogoro kwa zaidi saa moja sasa. Treni hiyo iliyoanza safari 2:10 jijini Dodoma, imekwama kwa zaidi ya…

Read More

Rais Samia azindua Rasmi Huduma za Usafiri wa Treni ya Kisasa (SGR) kutoka Dar es Salaam – Morogoro hadi Dodoma – MWANAHARAKATI MZALENDO

Taswira ya jengo la Stesheni ya Treni ya Kisasa (SGR) katika eneo la Kilometa 0 Jijini Dar es Salaam tarehe 01 Agosti, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuzindua jengo la Stesheni ya Treni ya Kisasa (SGR) katika eneo la Kilometa 0 Jijini Dar es Salaam tarehe…

Read More

RAIS DK.MWINYI KUFUNGUA TAMASHA FAHARI YA ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi anatarajia kufungua Tamasha la Fahari ya Zanzibar 2024 linalotarajia kufanyika Septemba 20 hadi 27 mwaka huu viwanja vya Nyamazi,Unguja. Huku nchi sita zinatarajia kushiriki tamasha hilo kwa lengo la kujadili masoko na uwekezaji ambapo kutakuwa na Kongamano maalum ndani ya…

Read More

DAVID MULOKOZI AWAUNGANISHA WASANII KUTOA BURUDANI

MKURUGENZI wa Kampuni ya Mati Super Brands Limited, David Mulokozi amesema Watanzania wapenda burudani ya muziki sasa watakuwa na nafasi ya kuwashuhudia wasanii wakongwe wa muziki katika jukwaa moja baada kuingia nao mkataba wa kutangaza bidhaa za kampuni hiyo. David Mulokozi amewataja wasanii hao kuwa ni Juma Nature, Matonya, Ferouz, Daz Baba, Domokaya na wengine…

Read More