
PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 4,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 4,2024 Featured • Magazeti About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO AGOSTI 4,2024 Featured • Magazeti About the author
Na Winfrida Mtoi, Mtanzania Digital Nyota walioshiriki mashindano hayo ni kutoka katika klabu zote za Tanzania na wengine nchi za Uganda, Rwanda, Kenya na Burundi. Katika mashindano hayo mshindi wa kwanza kwa watoto ambao wamecheza viwanja 18 Hafidhi Twalibu aliyeshinda kwa pointi 46, wa pili ni Stanley Emilias amepata pointi 45 huku Sabrina Juma akiwa…
Na Malima Lubasha, Serengeti MKUU wa Mkoa wa Mara, Kanali Evans Mtambi amewataka askari wanyamapori wa Hifadhi ya Serengeti na Mapori ya Akiba Ikorongo na Grumeti kukabiliana na vitendo vya ujangili na uharibifu wa mazingira ili kulinda ikolojia na viumbe hai. Kiongozi huyo wa mkoa alikuwa akizungumza katika maadhimisho ya siku ya askari wa wanyamapori…
Na Nora Damian, Dodoma Bodi ya Kahawa Tanzania (TCB) imezindua migahawa inayotembea ili kuongeza unywaji wa kahawa nchini kutoka asilimia saba hadi kufikia asilimia 15. Migahawa hiyo iliyozinduliwa kwenye Maonesho ya Wakulima maarufu Nanenae yanayofanyika kitaifa jijini Dodoma, utakuwa ukipelekwa kwenye maeneo yote yenye mikusanyiko ya watu na kutoa huduma ya unywaji wa kahawa. Akizungumza…
Kiungo Mshambuliaji mpya wa klabu ya Simba, Joshua Mutale amepokelewa kwa shangwe na mashabiki wa Simba baada ya utambulisho huku akiibuka na jezi namba 7 ambayo ilikuwa inavaliwa na Willy Onana. Onana anatajwa kuuzwa na Simba Uarabuni kwa dola 100,000 na katika utambulisho wa kikosi cha Simba cha msimu wa 2024/25 jina lake halipo hivyo…
Klabu ya Simba imekamilisha tamasha lake la Simba Day 2024 kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam kwa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya APR FC ya Rwanda. Mabao ya Simba katika mchezo huo wa kirafiki wa kimataifa yamefungwa na Debora Fernandez dakika ya 47′ na jingine limefungwa na Edwin Balua…
SIMBA imekamilisha tamasha lake la Simba day la msimu wa 16 kibabe, ikifanya makubwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam huku ikishinda kwa mabao 2-0 dhidi ya APR ya Rwanda. Mabao mawili ya Debora Mavambo na jingine la Edwin Balua yalitosha kuwapa mzuka wanasimba katika hitimisho la tamasha la 16 la Simba…
Hivi ndivyo alivyoingia Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally katika tamasha la Simba Day 2024 katika uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kwenda kutambulisha wachezaji. Utakumbuka Ahmed Ally ndiyo mwenye msemo ulioteka mashabiki nchini katika tamasha la msimu huu la ‘Ubaya Ubwela’ ameingia uwanjani kwa kuwashtukiza mashabiki…
SIMBA imekamilisha tamasha lake la Simba day la msimu wa 16 kibabe, ikifanya makubwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam huku ikishinda kwa mabao 2-0 dhidi ya APR ya Rwanda. Mabao mawili ya Debora Mavambo na jingine la Edwin Balua yalitosha kuwapa mzuka wanasimba katika hitimisho la tamasha la 16 la Simba…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za pongezi kwa Mashabiki wa klabu ya Simba wote kwa kufanikisha Tamasha la Simba Day mwaka 2024. Rais Samia ameongea na Wanasimba moja kwa moja baada ya kumpigia simu Katibu Mkuu wa Wizara ya Sanaa Utamaduni na Michezo, Gerson Msigwa…