Tarura kuendelea kufungua nchi kuwawezesha wakulima kuyafikia masoko kirahisi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Katika kuhakikisha wakulima wanayafikia masoko kwa haraka Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (Tarura) umesema unaendelea na ujenzi wa barabara na madaraja katika maeneo mbalimbali nchini kwa kutumia teknolojia mbadala zenye gharama nafuu. Wakala huo umekasimiwa kusimamia kilomita 144,429.77 ambapo kazi kubwa inayofanywa ni ujenzi na ukarabati wa…

Read More

NIC yanadi bima ya kilimo Maonesho Nanenane

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Shirika la Bima la Taifa (NIC) limewataka wakulima kulinda mazao yao kwa kuyakatia bima ya kilimo ili kujilinda dhidi ya majanga mbalimbali. Shirika hilo linaanza kulinda kilimo kwenye shamba la kuanzia hekta 100 ambapo wakulima wadogo wanaweza kuungana katika vikundi au kupitia vyama vya msingi ili kupata hekta hizo…

Read More

Brela yawaita wakulima kusajili nembo, alama za biashara

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Dodoma Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umewashauri wakulima kusajili alama za biashara na huduma (nembo) ili kuzitofautisha bidhaa zao na zingine zilizopo sokoni. Akizungumza leo Agosti 4,2024 kwenye Maonesho ya Wakulima na Wafugaji Nanenane yanayofanyika kitaifa jijini Dodoma, Ofisa Usajili kutoka BRELA Dodoma, Gabriel Girangay, amesema wakulima…

Read More

Shughuli imekwisha, tukutane ‘Nane Nane’

UKISIKIA funga kazi, basi ilikuwa jana wakati Yanga ilipohitimisha Kilele cha Wiki ya Mwananchi, saa 24 tu tangu Simba kufanya tamasha la Simba Day na kutambilisha mashine mpya za msimu wa 2024-2025m, huku mashabiki wa timu hiyo baada ya kuona vikosi vyote kutamba wakisema ‘Tukutane Nane Nane’. Simba na Yanga zinatarajiwa kuvaana Alhamisi hii kwenye…

Read More

HIKI HAPA KIKOSI CHA YANGA MSIMU WA 2024/25 – MWANAHARAKATI MZALENDO

  𝗚𝗼𝗮𝗹𝗸𝗲𝗲𝗽𝗲𝗿𝘀 01. 🇲🇱 Djigui Diarra. 02. 🇹🇿 Khomeini Abubakar 03. 🇹🇿 Aboutwalb Mshery.     𝗗𝗲𝗳𝗲𝗻𝗱𝗲𝗿𝘀 : 04. 🇨🇩 Chadrack Boka. 05. 🇹🇿 Kibwana Shomari. 06. 🇹🇿 Nickson Kibabage. 07. 🇨🇮 Kouassi Attohoula. 08. 🇹🇿 Ibrahim Bacca. 09. 🇹🇿 Bakari Mwamnyeto. 10. 🇹🇿 Dickson Job.     𝗠𝗶𝗱𝗳𝗶𝗲𝗹𝗱𝗲𝗿𝘀 : 11. 🇹🇿 Aziz Andambwile. 12. 🇰🇪…

Read More

Wananchi wampongeza Rais Samia kwa huduma za msaada wa kisheria bure Nane Nane

Na Mwandishi Wetu, Morogoro WANANCHI wanaopata msaada wa kisheria za mama Samia Legal Aid zinazoendelea kutolewa kwenye maonyesho ya Nane nane mkoani Morogoro wameelezea namna walivyonufaika na huduma hizo. Wakizungumza mkoani hapa jana, wananchi hao walimpongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka huduma hizo kwenye maonyesho hayo ambapo wamesema zimekuwa mkombozi kwao. Renatha Manda alimshukuru…

Read More