Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: August 9, 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • 9
Habari

MZUMBE KUENDELEA NA MAONESHO NANENANE – DODOMA

August 9, 2024 Admin

Chuo Kikuu Mzumbe kinaendelea kuwakaribisha wananchi wa Mikoa ya Kanda ya Kati kutembelea Banda la Chuo hicho katika maonesho ya Kilimo ya Kimataifa (Nanenane) 2024

Read More
Habari

Mawakala wa meli Tanzania wataja kero, Waziri atia neno

August 9, 2024 Admin

Dar es Salaam. Mawakala wa meli Tanzania wametaja kero tatu zinazowatatiza katika shughuli zao ikiwemo gharama kubwa ya usafirishaji wa mizigo kwa njia ya barabara.

Read More
Habari

Vyama vya siasa Mwanza vyaiomba INEC posho ya mawakala

August 9, 2024 Admin

Mwanza. Baadhi ya vyama vya siasa mkoani Mwanza, vimeiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuangalia uwezekano wa kugharamia posho kwa ajili ya mawakala

Read More
Habari

MATI SUPER BRANDS YADHAMINI MAONESHO YA TANZANITE MANYARA TRADE FAIR 2024

August 9, 2024 Admin

  Na Mwandishi Wetu ,Manyara . Kampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi kupitia kinywaji chake pendwa cha Tanzanite Premium Vodka imedhamini Maonesho

Read More
Habari

Makalla amkaribisha Lissu CCM, mwenyewe ajibu

August 9, 2024 Admin

Misenyi. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amemkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kujiunga na chama

Read More
Habari

Waziri Kombo ajitambulisha kwa Rais wa Zanzibar

August 9, 2024 Admin

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), pamoja na Manaibu wake, Mhe. Cosato Chumi (Mb.), Naibu

Read More
Habari

Mchungaji Kantate azikwa, dereva kupandishwa kizimbani Jumatatu

August 9, 2024 Admin

Moshi. Wakati Mchungaji Kantate Munis (42) akizikwa katika usharika wa Kisamo Old Moshi, Wilaya ya Moshi, Mkuu wa Dayosisi ya Kaskazini ya Kanisa la Kiinjili

Read More
Habari

Watanzania hutumia miaka 10 hadi 15 kujenga nyumba

August 9, 2024 Admin

Dar es Salaam. Licha ya kuwepo kwa mwamko wa wananchi kujenga nyumba kupitia fedha zao za mfukoni, hali inaonyesha kuwa huwachukua wastani wa miaka kumi 

Read More
Habari

KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAAHIDI KUUPA MSUKUMO MRADI WA EACOP

August 9, 2024 Admin

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo wamekagua utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) katika kituo

Read More
Habari

12 mbaroni sakata la ubakaji, wamo wanne waliotumwa na ‘afande’

August 9, 2024 Admin

Dar es Salaam. Hatimaye Jeshi la Polisi limevunja ukimya kuhusu tukio la msichana kubakwa na kulawitiwa na vijana watano waliodai kutumwa na afande, likieleza kuwakamata

Read More

Posts pagination

1 2 … 12 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.