MZUMBE KUENDELEA NA MAONESHO NANENANE – DODOMA

Chuo Kikuu Mzumbe kinaendelea kuwakaribisha wananchi wa Mikoa ya Kanda ya Kati kutembelea Banda la Chuo hicho katika maonesho ya Kilimo ya Kimataifa (Nanenane) 2024 yanayoendekea katika viwanja vya Nanenane, Nzuguni jijini Dodoma. Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko Chuo Kikuu Mzumbe, Bi. Lulu Mussa amesema licha ya maonesho hayo kufikia kilele chake…

Read More

Mawakala wa meli Tanzania wataja kero, Waziri atia neno

Dar es Salaam. Mawakala wa meli Tanzania wametaja kero tatu zinazowatatiza katika shughuli zao ikiwemo gharama kubwa ya usafirishaji wa mizigo kwa njia ya barabara. Changamoto nyingine ni utozaji wa kodi kwenye meli kabla ya kutia nanga tofauti na utaratibu wa kimataifa unaoelekeza meli itozwe kodi baada ya kufunga kitendo ambacho kwao kinawatengenezea hasara. Kero…

Read More

Vyama vya siasa Mwanza vyaiomba INEC posho ya mawakala

Mwanza. Baadhi ya vyama vya siasa mkoani Mwanza, vimeiomba Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuangalia uwezekano wa kugharamia posho kwa ajili ya mawakala wa vyama hivyo, wakati wa uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura. Wakizungumza leo Ijumaa Agosti 9, 2024 kwenye mkutano wa wadau wa uchaguzi kuhusu uboreshaji wa daftari hilo…

Read More

MATI SUPER BRANDS YADHAMINI MAONESHO YA TANZANITE MANYARA TRADE FAIR 2024

  Na Mwandishi Wetu ,Manyara . Kampuni ya Mati Super Brands Limited inayozalisha vinywaji changamshi kupitia kinywaji chake pendwa cha Tanzanite Premium Vodka imedhamini Maonesho ya 3 ya Biashara,Viwanda,Madini na Kilimo ya Tanzanite Premium Vodka yatakayofanyika katika Viwanja vya Tanzanite Kwaraa Stedium Octoba 20-30 mwaka 2024 mjini Babati Mkoani Manyara.Kwa Upande Wake Afisa Masoko Kampuni…

Read More

Makalla amkaribisha Lissu CCM, mwenyewe ajibu

Misenyi. Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla amemkaribisha Makamu Mwenyekiti wa Chadema (Bara), Tundu Lissu kujiunga na chama hicho akidai tayari chama chake kimeacha misingi yake. Makalla ameeleza hayo Agosti 9, 2024 kwenye mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM, Dk Emmanuel Nchimbi uliofanyika katika Wilaya ya Missenyi mkoani…

Read More

Waziri Kombo ajitambulisha kwa Rais wa Zanzibar

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), pamoja na Manaibu wake, Mhe. Cosato Chumi (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki na Mhe. Dennis Londo (Mb.), Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia Masuala ya Afrika…

Read More

Watanzania hutumia miaka 10 hadi 15 kujenga nyumba

Dar es Salaam. Licha ya kuwepo kwa mwamko wa wananchi kujenga nyumba kupitia fedha zao za mfukoni, hali inaonyesha kuwa huwachukua wastani wa miaka kumi  hadi miaka 15 kumaliza kujenga nyumba hizo. Hayo yameelezwa leo Ijumaa Agosti 9,2024 na Mkurugenzi Mkuu  wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Hamad Abdallah, alipokuwa akitoa  taarifa ya shughuli…

Read More

KAMATI YA BUNGE YA BAJETI YAAHIDI KUUPA MSUKUMO MRADI WA EACOP

Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti leo wamekagua utekelezaji wa mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) katika kituo kitakachotumika kupokea, kuhifadhi na kusafirisha mafuta ghafi kutoka Uganda ambapo wameahidi kuzidi kuupa msukumo mradi huo wa kimkakati katika mageuzi ya kiuchumi. Mara baada ya kukagua kituo hicho kilichopo Kata…

Read More