Yanga yaiwekea mtego Ligi Kuu… Yauliza swali zito!

ILIPOPIGWA Simba katika nusu fainali kwa bao 1-0, Azam FC nayo ikajipanga kuja kulinda heshima, lakini kilichowakuta hadi unavyosoma gazeti hili hawajui kilichotokea wakipoteza kwa kipigo kizuto cha mabao 4-1, huku mabingwa wakiuliza ‘kuna mwingine huko?’ Yanga jana ikitoka nyuma kwa bao 1-0 na kupindua meza na kushinda kibabe ikilirudisha taji la Ngao ya Jamii…

Read More

ORYX GAS WASHIRIKIANA NA GAMBO KUKABIDHI MITUNGI 600 YA ORYX KWA FAMILIA ZENYE WATOTO WENYE ULEMAVU

 Na Mwandishi Wetu, Arusha KAMPUNI ya Orxy Gas Tanzania Limited inayozalisha na kusambaza nishati ya gesi za majumbani imemuunga mkono Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Mrisho Gambo kwa kutoa msaada wa mitungi midogo 600 kwa familia zenye Watoto wenye ulemavu. Akizungumza katika hafla iliyoandaliwa na Mbunge huyo kwaajili ya kugawa vifaa saidizi kwa watoto…

Read More

MITUNGI 600 YA KUPIKIA YA ORYX YAKABIDHIWA KWA FAMILIA ZENYE WATOTO WENYE ULEMAVU ARUSHA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Na Mwandishi Wetu, Arusha   KAMPUNI ya Oryx Gas imekabidhi mitungi 600 ya oryx ya kupikia kwa familia zenye watoto wenye ulemavu mkoani Arusha ambapo ni katika jitihada za kumuunga mkono Mbunge wa Arusha Vijijini, Mrisho Gambo.   Akizungumza katika hafla iliyoandaliwa na Mbunge huyo kwaajili ya kugawa vifaa saidizi kwa watoto wenye ulemavu Jijini…

Read More

Lissu, Mnyika, Sugu wadaiwa kukamatwa na Polisi Mbeya

Mbeya. Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linadaiwa kuwakamata viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akiwemo Tundu Lissu ambaye ni Makamu Mwenyekiti wa chama hicho Bara. Mbali na Lissu, wengine ni Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu. Viongozi hao wamedaiwa kukamatwa usiku wa…

Read More

EXPANSE KASINO! MZUKA WA MAMILIONI UNAENDELEA

ONGEZA Mzuka na michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse, promosheni yenye kutoa Mamilioni kwa wachezaji wote. Jiunge na Meridianbet kasino upate bonasi ya ukaribisho ya 300%. Kupitia shindano la michezo ya kasino ya mtandaoni kutoka Expanse, unaweza kujishindia hadi Tsh 4,750,000/= ikiwemo bonasi za kasino kibao. Kuna michezo mingi ya kasino na Sloti ambayo…

Read More

Fei Toto akumbatiana na Hersi

WAKATI kikosi cha Azam FC inakwenda kuchukua medali ya mshindi wa pili wa michuano ya Ngao ya Jamii, kama kuna tukio kilikuwa linasubiriwa basi ni kiungo Feisal Salum Fei Toto kuonana uso kwa uso na Rais wa Yanga injinia Hersi Said na wamekutana bana. Katika zoezi hilo la kupokea medali Fei Toto amekutana na Hersi…

Read More