Polisi yawaachia kina Mbowe kwa dhamana, baadhi wakwama

Mbeya. Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kuwashikilia na kuwahoji viongozi na wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapatao 520 na kuwaachia huru baadhi yao kwa dhamana. Pia limesema ambao hawakuachiwa ni wale walioshindwa kukidhi masharti ya dhamana au kuwa na makosa zaidi ya moja, ikiwemo jinai. Limesema halitasita kuchukua hatua kwa yeyote…

Read More

‘Ulaji hafifu shuleni unaathiri maendeleo ya akili’

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) kimesema ulaji hafifu shuleni utachangia watoto kukosa akili ya maisha na kujikwamua kutoka katika umaskini pale watakapokuwa wakubwa. Wakati SUA ikieleza hayo, Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), limesema ili wanafunzi wafikie malengo yao, wafaulu, wakue na wawe makini darasani wanapaswa wapate lishe nzuri. Wadau hao…

Read More

Profesa Kinabo: Ulaji hafifu shuleni unaathiri maendeleo ya akili na kupambana na umaskini

Dar es Salaam. Chuo Kikuu cha Sokoine (SUA) kimesema ulaji hafifu shuleni utachangia watoto kukosa akili ya maisha na kujikwamua kutoka katika umaskini pale watakapokuwa wakubwa. Wakati SUA ikieleza hayo, Shirika la Mpango wa Chakula Duniani (WFP), limesema ili wanafunzi wafikie malengo yao, wafaulu, wakue na wawe makini darasani wanapaswa wapate lishe nzuri. Wadau hao…

Read More

‘Shule nyingi wanafunzi wanalishwa ugali maharage’

Dar es Salaam. Mhariri wa Afya wa Gazeti la Mwananchi, Herieth Makwetta amesema uchunguzi uliofanywa na Mwananchi kati ya Februari mpaka Machi 2024, ulibaini wanafunzi katika shule nyingi wanalishwa ugali maharage kwa muda mrefu, wakati mwingine hadi siku sita kwa wiki. Mbali na Makwetta, Meneja Uchechemuzi na Mawasiliano kutoka Shirika la Save the Children Tanzania,…

Read More

Ubaguzi unavyowarudisha nyuma watu wenye ulemavu

Dar es Salaam. Ubaguzi kwa watu wenye ulemavu katika jamii unatajwa kama moja ya sababu inayofanya kundi hilo kushindwa kunufaika na fursa mbalimbali za kiuchumi na kijamii. Baadhi ya fursa hizo ni pamoja na upatikanaji wa ajira, kuwezeshwa kiuchumi pamoja na upatikanaji wa huduma mbalimbali za kijamii, ikiwemo elimu. Hayo yamebainishwa  leo Jumatatu Agosti 12,…

Read More

Mikoa mitano kunufaika na mradi wa usalama wa chakula

Dodoma. Tanzania inatarajia kuanza utekelezaji wa mradi wa kuwawezesha wakulima wadogo unaolenga kuimarisha usalama na ustahimilivu wa athari za mabadiliko ya tabianchi, ili kuhakikisha usalama wa chakula unadelea kuwepo. Mradi huo wa miaka mitano (2024-2028) unaofahamika kama Nourish utatekelezwa nchini kupitia Shirika la Maendeleo la SNV Netherlands kwa kushirikiana na Farm Africa, ukilenga kuimarisha usalama…

Read More

Hofu ya Gen Z yatajwa shughuli ya Chadema

Dar es Salaam. Hofu ya kilichotokea nchini Kenya na Bangladesh, ni moja ya mambo yanayotajwa kulisukuma Jeshi la Polisi nchini Tanania,  kuliwekea vikwazo Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), kufanya maadhimisho ya Siku ya Vijana Duniani. Kwa mujibu wa wanazuoni wa sayansi ya siasa, tawala katika mataifa kadhaa ulimwenguni zimekumbwa na mtikisiko uliosababishwa na vuguvugu…

Read More