
NAIBU WAZIRI NYONGO AITAKA KAMPUNI YA ALPHA CAPITAL KUONGEZA UBUNIFU
NAIBU Waziri wa Nchi Ofii ya Rais Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo ameitaka Kampuni ya Alpha Capital na wadau wengine kuongeza ubunifu zaidi ili kuleta bidhaa bora katika uwekezaji wa masoko ya mitaji. Rai hiyo aliitoa jana Jijini hapa alipokuwa katika uzinduzi wa uwekezaji wa pamoja wa mfuko wa Halal Fund uliozinduliwa na Kampuni Alpha…