Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: August 13, 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • 13
Habari

NAIBU WAZIRI NYONGO AITAKA KAMPUNI YA ALPHA CAPITAL KUONGEZA UBUNIFU

August 13, 2024 Admin

NAIBU Waziri wa Nchi Ofii ya Rais Mipango na Uwekezaji, Stanslaus Nyongo ameitaka Kampuni ya Alpha Capital na wadau wengine kuongeza ubunifu zaidi ili kuleta

Read More
Habari

Ni Meridianbet tena ndani ya Kijitonyama

August 13, 2024 Admin

  Meridianbet tena ndani ya Kijitonyama ndivyo unavyoweza kusema kwakua leo tena wamefanikiwa kufika kwenye eneo hilo na kutoa msaada wa vifaa vya michezo kwa

Read More
Habari

Wachimbaji wadogo Shilalo walia kudhulumiwa, Serikali yatoa kauli

August 13, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Misungwi BAADA ya kufanya shughuli za uchimbaji madini ya dhahabu kwa miaka saba tangu 2017 katika eneo la Shilalo wilayani Misungwi mkoani

Read More
Habari

Dk Biteko azindua kituo cha kupokea, kupooza umeme GGML

August 13, 2024 Admin

Geita. Mgodi wa Uchimbaji Madini ya Dhahabu wa Geita (GGML), umeandika historia baada ya  kuanza kutumia umeme wa gridi ya Taifa kwa mara ya kwanza

Read More
Habari

Mfumko wa bei wapungua, sababu yatajwa

August 13, 2024 Admin

Unguja. Mfumko wa bei kwa kipindi cha miezi 12 hadi kifikia Julai 2024 umepungua na kufikia asilimia 5.26 kutoka asilimia 5.65 iliyorekodiwa kwa kipindi cha

Read More
Habari

Wataalamu 250 wa afya ulimwenguni kukutana Tanzania

August 13, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tanzania inatarajiwa kuwa mwenyeji wa Kongamano la Kisayansi la Kimataifa la Matumizi ya Mawimbi Sauti katika Tiba (ISMRM) pamoja na Tiba ya

Read More
Habari

Kauli ya Kingu baada ya kuchaguliwa kuongoza kamati ya Bunge

August 13, 2024 Admin

Dodoma. Mwenyekiti Mpya wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Afya na Masuala ya Ukimwi, Elibariki Kingu amesema mkakati wa mkubwa wa kamati yake ni

Read More
Habari

Serikali mbioni kufunga Ziwa Victoria

August 13, 2024 Admin

Mwanza. Ikiwa imebaki siku moja Ziwa Tanganyika lifunguliwe Agosti 15, 2024, Serikali imewataka wasimamizi wa Ziwa Victoria kuandaa mkakati wa kulifunga. Ziwa Tanganyika lilifungwa Mei

Read More
Habari

Kilio wizi mita za maji Manispaa ya Iringa

August 13, 2024 Admin

Iringa. Wakazi wa Manispaa ya Iringa wamelalamikia ongezeko la wizi wa mita za maji unaoendelea katika manispaa hiyo, hali inayosababisha hasara kubwa kwa kulazimika kununua

Read More
Habari

Mama mbaroni akidaiwa kumuua mwanaye kisa ugumu wa maisha

August 13, 2024 Admin

Mufindi. Mama wa watoto wawili, mkazi wa Mtaa wa Tanganyika, Kata ya Kinyanambo ‘A’ wilayani Mufindi, Sophia Mzena (39) anashikiliwa na Jeshi la Polisi  mkoani

Read More

Posts pagination

1 2 … 12 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.