WMA yaeleza fursa uwekezaji sekta binafsi

Veronica Simba na Paulus Oluochi – WMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla ametaja fursa kadhaa za uwekezaji unaoweza kufanywa na sekta binafsi katika tasnia ya vipimo nchini Tanzania. Kihulla ameeleza fursa hizo kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Raphael Maganga aliyetembelea Kituo cha Uhakiki wa…

Read More

Uhuru wa Vyombo vya Habari Hatarini Pamoja na Wanahabari Katika Mpambano wa Maandamano ya Kenya – Masuala ya Ulimwenguni

Catherine Wanjeri Kariuki, ripota wa TV na redio aliyeko Nakuru, Kenya, katika kituo cha polisi. Afisa wa polisi alimpiga risasi mguuni licha ya sifa zake zinazoonekana kwenye vyombo vya habari. Tukio hilo liliripotiwa kwa Mamlaka Huru ya Kusimamia Polisi (IPOA). Credit: Robert Kibet/IPS na Robert Kibet (nairobi) Alhamisi, Agosti 15, 2024 Inter Press Service NAIROBI,…

Read More

ODD ONE OUT Sloti Yenye Njia 243 za Ushindi

  *Sloti ya Odd One Out WAKATI ambao wengi wanasubiri kuanza kwa msimu mpya wa Ligi duniani kote, wajanja wanazidi kupiga pesa kirahisi Zaidi, na Sloti ya ODD ONE OUT. Jisajili hapa kisha upate bonasi ya ukaribisho ya 3,000,000/= Mchezo wa sloti huu kutoka kasino ya mtandaoni inakupa njia 243 za kutengeneza ushindi, unaanzaje kushindwa…

Read More

WMA YAELEZA FURSA ZA UWEKEZAJI KWA SEKTA BINAFSI

Veronica Simba na Paulus Oluochi – WMA Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo (WMA), Alban Kihulla ametaja fursa kadhaa za uwekezaji unaoweza kufanywa na sekta binafsi katika tasnia ya vipimo nchini Tanzania. Kihulla ameeleza fursa hizo kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Raphael Maganga aliyetembelea Kituo cha Uhakiki wa…

Read More

ANWANI ZA MAKAZI ZAIDI YA 400,000 KUHAKIKIWA MKOANI ARUSHA

    Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Arusha. Zaidi ya Taarifa za Anwani za Makazi 400,000 zinatarajiwa kuhakikiwa katika Halmashauri Sita za Mkoa wa Arusha katika zoezi la Uhakiki wa Anwani za Makazi lililoanza rasmi Agosti 14 mwaka huu. Hayo yamebainishwa leo tarehe 15 Agosti, 2024 na Bw. Mulembwa Munaku, Mkurugenzi wa Huduma za Mawasiliano, Wizara…

Read More