Uganda yawarejesha polisi wa Kongo waliokimbia mapigano – DW – 16.08.2024

Taarifa yake imesema baada ya kuthibitisha vitambulisho vya uraia, maafisa hao wa polisi waliruhusiwa kuingia Uganda kama kitendo cha kiutu na kulingana na sheria ya kimataifa. Msemaji wa jeshi la Uganda Meja Kiconco Tabaro amesema maafisa hao walirejeshwa pamoja na silaha zao na kuongeza kuwa wakimbizi walikuwa wakiendelea kuingia kupitia mpaka wa Uganda wakikimbia machafuko…

Read More

EWURA YATETA NA MAJAJI,MAHAKIMU KUHUSU UDHIBITI

    Meneja Mawasiliano na Uhusiano wa EWURA, Titus Kaguo akitoa elimu kwa waheshimiwa na mahakimu wa Mahakama ya Tanzania, katika semina iliyofanyika Kituo Jumuishi cha Haki Jinai, jijini Dodoma. ……… Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo, 16/8/24 imekutana na majaji na mahakimu wafawidhi 50, katika semina ya kujenga uelewa…

Read More

Watumishi 19 kortini kwa tuhuma za rushwa

Mwanza. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Mwanza imewaburuza kortini watumishi 19 kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa katika halmashauri za mkoa huo. Hayo yameelezwa leo Ijumaa, Agosti 16, 2024 na Mkuu wa Takukuru Mkoa wa Mwanza, James Ruge alipokuwa akitoa taarifa ya utendaji kazi ya taasisi hiyo katika kipindi…

Read More

MAJALIWA: TANZANIA IKO TAYARI KUSHIRIKIANA NA CUBA KUJENGA KIWANDA KIKUBWA CHA CHANJO

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Tanzania iko tayari kushirikiana na Serikali ya Cuba kujenga kiwanda kikubwa cha kuzalisha chanjo mbalimbali ikiwemo chanjo ya homa ya ini. Amesema viwanda vya dawa nchini Cuba vikiwemo vinavyotengeneza dawa zinazotokana na mimea tiba vimeiwezesha nchi hiyo kupunguza utegemezi wa kuagiza dawa kutoka nje ya nchi hiyo kwa…

Read More