Wapishi wengi hawajui kuandaa vyakula

Dar es Salaam. Jukwaa la Ubora na Usalama wa Chakula Tanzania, linawasisitiza Watanzania kula vyakula bora na Salama, kwani mlo kamili ni chanzo cha kuepukana na magonjwa yasiyoambukiza kama utapiamlo na kisukari. Jukwaa hilo limewataka Watanzania kuwa makini kwenye ulaji wa vyakula na uandaaji wake ambapo maandalizi hayo yanaanzia shambani hadi jikoni kwa mpishi. Wameyasema…

Read More

Uhusiano kati ya India na Tanzania wachukua sura mpya

Dar es Salaam. Balozi wa India nchini Tanzania amesema ziara aliyofanya na Rais Samia Suluhu Hassan nchini India Oktoba mwaka jana, imeongeza zaidi uhusiano wa nchi hizo mbili hususani kibiashara. Balozi Bishwadip Dey amesema hayo katika hotuba yake wakati wa hafla ya kusherehekea miaka 78 ya uhuru wa India iliyofanyika juzi jijini Dar es Salaam…

Read More

Mjue mtu anayesadikika kuwa na akili nyingi duniani

Dar es Salaam. Kim Ung-Yong ‘Genius’, anatajwa kama mmoja wa watu mashuhuri waliowahi kuvunja rekodi ya dunia kwa kuwa na akili nyingi duniani akiwa katika umri mdogo. Haikutokea tu kama bahati. Kama wasemavyo wahenga kuwa nyota nyema huanza asubuhi, ndivyo ilivyokuwa kwa Kim Ung- Yong. Kwa mujibu wa mtandao wa Wikipedia alizaliwa kwenye familia ya…

Read More

MERIDIANBET YAGAWA TABASAMU MBEZI – MICHUZI BLOG

  MABINGWA wa misimu yote wa michezo ya kubashiri kampuni ya Meridianbet wametoa tabasamu kama ambavyo imekua kawaida yao, Leo ni Mbezi ndio wameweza kupata fursa ya kufurahi kutokana na uwepo wa Meridian. Kampuni hiyo inayisifika kwa michezo ya kubashiri imefika eneo la Mbezi leo na kuweza kugawa vifaa vya michezo kama mipira katika kuhakikiha wanainua michezo…

Read More

CCM haitawabeba wanachama wachafu uchaguzi ujao

Tanga. Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mlezi wa CCM Mkoa wa Tanga,  Hemed Suleiman Abdullah amesema hawatabeba wanachama wachafu, ambao wanakiuka taratibu na kanuni za chama kwenye shughuli zao za kisiasa katika chaguzi zinazokuja. Akizungumza na  wanachama wa chama hicho kwenye ziara yake ya siku nne ya kuongea…

Read More

Meridianbet yatoa msaada Mbezi – Mwanahalisi Online

  Kama ilivyo kawaida kampuni ya Meridianbet leo wamefika eneo la Mbezi jiji Dar-e-salaam na kutoa msaada wa vifaa vya michezo kwenye eneo hilo. Meridianbet wamekua wakifanya utaratibu huu kwa miaka mingi wakijitahidi kugawana na jamii yake ambacho wamekivuna, Ambapo leo ni wakazi wa Mbezi wamenufaika ambapo wameweza kupatiwa mipira kadhaa ambayo itaweza kuimarisha ari…

Read More

Rais Samia ashika usukani asasi ya ulinzi, usalama SADC

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa Asasi ya Ushirikiano katika masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC). Anachukua nafasi kutoka kwa Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema aliyemaliza muda wake. Asasi hiyo ni chombo ndani ya SADC kinacholenga kuimarisha ushirikiano kati ya nchi wanachama…

Read More