KOKA AWAFUNDA VIJANA UVCCM KATA YA TANGINI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuwakomboa vijana katika kujikwamua kiuchumi ameahidi kuwasaidia vijana wa kata ya Tangini kuanzisha miradi mbali mbali ikiwemo kuwapatia pikipiki. Koka ametoa ahadi hiyo wakati akizungumza na vijana wa UVCCM kata ya Tangini wakati…

Read More

Vigogo TCD wakutana Dar kujadili uchaguzi serikali za mitaa

Dar es Salaam. Viongozi waandamizi wanaounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)  pamoja na wa Serikali wamekutaka leo Jumapili, Agosti 18, 2024 jijini Dar es Salaam. TCD inayoongozwa na Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe wamefanya kikao cha mashauriano kilichoongozwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi na kujadili masuala mbalimbali ikiwemo  madai ya sintofahamu ya zuio la…

Read More

DCI, DPP wafunguka sakata la msichana kubakwa, kulawitiwa

Dar/Mbeya. Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), imesema bado haijafikishiwa jalada la kesi ya vijana watano wanaotuhumiwa kutekeleza tukio la ubakaji na ulawiti wa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo Dovya, Mkoa wa Dar es Salaam. Picha jongefu (video) kuhusu tukio hilo zilisambaa Jumapili ya Agosti 4, mwaka huu kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha…

Read More

Tanzanite ya Sh18.6 bilioni yasafirishwa nje ya nchi

Mirerani. Madini ya Tanzanite yenye thamani ya Sh18.6 bilioni yamesafirishwa kwenda kuuzwa nje ya nchi, tangu kuanzishwa kwa soko la madini ya Tanzanite katika mji mdogo wa Mirerani, wilayani Simanjiro, Mkoa wa Manyara. Ofisa madini mkazi wa Mirerani, Nchagwa Chacha Marwa ametoa taarifa hiyo leo Jumapili, Agosti 18, 2024 wakati akisoma taarifa ya utendaji kwa…

Read More

Polisi kata, wananchi waja na mbinu ya kukabili uhalifu

Mwanza. Wakazi wa Kata ya Mabatini jijini hapa, wakishirikiana na Polisi Kata, wameanzisha mpango wa kuwaepusha vijana na vitendo vya kihalifu kwa kuwapatia elimu na mafunzo ya ujasiriamali. Mpango huu pia unawalenga wajane, wastaafu, wanawake na wazee kwa lengo la kuwawezesha kupata vyanzo vya mapato. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Jumapili, Agosti 18,…

Read More

Tume ya Haki na Utawala Bora yajitosa sakata la kina Mbowe Mbeya

Mbeya. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania (THBUB) imejitosa kufuatilia sakala la Jeshi la Polisi kuzuia maadhimisho ya siku vijana yaliyokuwa yameandaliwa na Baraza la Vijana wa Chadema (Bavicha). Maadhimisho hayo yalikuwa yafanyika Agosti 12, 2024 katika viwanja vya Ruanda Nzovwe jijini Mbeya. Hata hivyo, maadhimisho hayo hayakufanyika baada ya kuzuiliwa na…

Read More

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AONGOZA KIKAO CHA MASHAURIANO CHA VYAMA VYA SIASA WANACHAMA WA TCD.

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, akiongoza Kikao cha Mashauriano cha Vyama vya Siasa Wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), ambacho, mbali ya viongozi wa vyama hivyo, pia kilihudhuriwa na mawaziri na manaibu waziri wakiwakilisha upande wa Serikali. Baadhi ya viongozi wakuu wa vyama hivyo walioshiriki kikao hicho ni pamoja na…

Read More

Ceasiaa yaigomea Yanga Princess | Mwanaspoti

WAKATI Ceasiaa Queens ikitema na kuingiza nyota wapya 10 wakiwamo watano wa kimataifa, kocha mkuu wa timu hiyo, Noah Kanyanga amethibitisha kugomea ofa aliyoletewa na Yanga Princess akidai haikumshawishi. Walioongezwa ni straika Tantine Mushiya (DR Congo), mabeki Lukiya Namubiru, Tukamuhebwa Recho na Dorcus Nabuufu na winga Halima Nanteze wote kutoka Uganda. Wengine walioongezwa ni wazawa…

Read More