Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: August 18, 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • 18
Habari

KOKA AWAFUNDA VIJANA UVCCM KATA YA TANGINI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

August 18, 2024 Admin

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Mbunge wa Jimbo la Kibaha mjini Silvestry Koka katika kuunga mkono juhudi za Rais Dkt Samia Suluhu Hassan katika kuwakomboa vijana katika

Read More
Habari

Aliyedaiwa kutekwa Kibaha, akutwa amefariki dunia kichakani

August 18, 2024 Admin

Kibaha. Baada ya kupotea kwa siku nne akidaiwa ametekwa na vijana watatu, Ally Pweku (22), Mkazi wa Mbwate, mkoani Pwani, amekutwa amefariki dunia vichakani. Inadaiwa

Read More
Habari

Vigogo TCD wakutana Dar kujadili uchaguzi serikali za mitaa

August 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Viongozi waandamizi wanaounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD)  pamoja na wa Serikali wamekutaka leo Jumapili, Agosti 18, 2024 jijini Dar es Salaam. TCD

Read More
Habari

DCI, DPP wafunguka sakata la msichana kubakwa, kulawitiwa

August 18, 2024 Admin

Dar/Mbeya. Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), imesema bado haijafikishiwa jalada la kesi ya vijana watano wanaotuhumiwa kutekeleza tukio la ubakaji na ulawiti wa

Read More
Habari

Tanzanite ya Sh18.6 bilioni yasafirishwa nje ya nchi

August 18, 2024 Admin

Mirerani. Madini ya Tanzanite yenye thamani ya Sh18.6 bilioni yamesafirishwa kwenda kuuzwa nje ya nchi, tangu kuanzishwa kwa soko la madini ya Tanzanite katika mji

Read More
Habari

Polisi kata, wananchi waja na mbinu ya kukabili uhalifu

August 18, 2024 Admin

Mwanza. Wakazi wa Kata ya Mabatini jijini hapa, wakishirikiana na Polisi Kata, wameanzisha mpango wa kuwaepusha vijana na vitendo vya kihalifu kwa kuwapatia elimu na

Read More
Habari

Tume ya Haki na Utawala Bora yajitosa sakata la kina Mbowe Mbeya

August 18, 2024 Admin

Mbeya. Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora Tanzania (THBUB) imejitosa kufuatilia sakala la Jeshi la Polisi kuzuia maadhimisho ya siku vijana yaliyokuwa yameandaliwa

Read More
Habari

MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA AONGOZA KIKAO CHA MASHAURIANO CHA VYAMA VYA SIASA WANACHAMA WA TCD.

August 18, 2024 Admin

Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, akiongoza Kikao cha Mashauriano cha Vyama vya Siasa Wanachama wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), ambacho,

Read More
Habari

Osha yatahadharisha kuibuka magonjwa ya misuli, mgongo, ajali kazini zikipungua

August 18, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakala wa Usalama na Afya Mahali pa Kazi (Osha), umesema hivi sasa matukio ya ajali kazini yamepungua na badala yake yameibuka magonjwa

Read More
Michezo

Ceasiaa yaigomea Yanga Princess | Mwanaspoti

August 18, 2024 Admin

WAKATI Ceasiaa Queens ikitema na kuingiza nyota wapya 10 wakiwamo watano wa kimataifa, kocha mkuu wa timu hiyo, Noah Kanyanga amethibitisha kugomea ofa aliyoletewa na

Read More

Posts pagination

1 2 … 6 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.