
RAIS SAMIA AWAKONGA MOYO SINGIDA MASHARIKI
MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu ametembelea na kugua ujenzi wa miradi ya maji katika Kijiji Cha Mang’onyi ,mradi wa maji wa Kijiji cha Sakaa na Ujenzi wa Tanki la Maji katika Kijiji Cha Minyinga ambayo kukamilika kwake kutaondoa adha ya wananchi kutembea umbali mrefu kusaka maji. Akiwa katika Kijiji Cha Mang’onyi ambapo mradi…