
Barrick yakabidhi gawio la mrahaba vijiji 5 wilayani Tarime Barrick yakabidhi gawio la mrahaba vijiji 5 wilayani Tarime
Na Mwandishi Wetu. Kampuni ya Barrick nchini yenye ubia na Serikali kupitia kampuni ya Twiga Minerals kupitia mgodi wake wa North Mara, imekabidhi gawio la mrahaba wa shilingi bilioni 1.1 kwa vijiji 5 wilayani Tarime, ambapo katika robo ya pili ya mwaka jana mpaka robo ya kwanza ya mwaka huu pia ilitoa kiasi cha shilingi…