Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: August 20, 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • 20
Habari

Barrick yakabidhi gawio la mrahaba vijiji 5 wilayani Tarime Barrick yakabidhi gawio la mrahaba vijiji 5 wilayani Tarime

August 20, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu. Kampuni ya Barrick nchini yenye ubia na Serikali kupitia kampuni ya Twiga Minerals kupitia mgodi wake wa North Mara, imekabidhi gawio la

Read More
Burudani

RIDHIWANI KIKWETE ANOGESHA BONANZA LA NMB DAY KIZIMKAZI FESTIVAL 2024

August 20, 2024 Admin

Na. Andrew Chale, Zanzibar. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Ridhiwan Kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi ameweza

Read More
Habari

Rais Ruto apata ushindi Mahakama ya Juu

August 20, 2024 Admin

Nairobi. Mahakama ya Juu zaidi nchini Kenya imesimamisha uamuzi wa Mahakama ya Rufaa uliobatilisha Sheria ya Fedha ya Mwaka 2023. Kwa mujibu wa gazeti la

Read More
Habari

TIMU ZA NETIBOLI, KIKAPU ZA TANZANIA ZATAMBA FEASSSA 2024

August 20, 2024 Admin

Na Angela Msimbira UGANDA Timu ya Netiboli ya Tanzania katika michuano ya Shule za Msingi na Sekondari ya Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (FEASSSA)

Read More
Habari

Waziri Mhagama akabidhi Ofisi kwa waziri Lukuvi

August 20, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, ameahidi kuendelea kutoa ushirikiano kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na

Read More
Habari

Tanzania, Korea kujenga kituo cha utafiti wa madini

August 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Tanzania inatarajia kuanzisha kituo cha utafiti wa madini na maabara kubwa ya uchambuzi wa madini itakayokuwa na jukumu la kukagua ubora na kiasi

Read More
Habari

ILEMELA YAPONGEZWA KWA KUTEKELEZA MRADI WA KUPANGA, KUPIMA NA KUMILIKISHA ARIDHI.

August 20, 2024 Admin

Kamati ya kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Justine Nyamoga imeipongeza Halmashauri ya

Read More
Habari

USAID kuwekeza Dola milioni 8.3 kwa kampuni tisa za Tanzania

August 20, 2024 Admin

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID), kupitia serikali ya Marekani, limetangaza kuwekeza dola milioni 8.3 za Kimarekani kwa

Read More
Habari

Wanawake waongoza mashauri ya ndoa, familia

August 20, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wanawake wametajwa kuwa mstari wa mbele kuripoti mashauri ya ndoa na kifamilia kuliko wanaume, sababu zikiwa ni ongezeko la talaka, kutafuta mirathi

Read More
Habari

WAZIRI MAVUNDE AMPONGEZA GODI MWANGA KWA KUWEKEZA

August 20, 2024 Admin

Na Mwandishi wetu, Simanjiro WAZIRI wa Madini Anthony Peter Mavunde amempongeza mwekezaji mzawa God Mwanga kwa namna alivyowekeza kwenye madini ya kinywe hapa nchini. Waziri

Read More

Posts pagination

1 2 … 14 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.