Day: August 21, 2024

Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe.Farida Mgomi amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM katika kikao cha Halmashauri kuu ya
Vijana ni kundi kubwa la Wananchi ambao wameanza kujitokeza kwa wingi vituoni kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ili waweze kupiga kura katika

Dodoma. Mashahidi wawili wa upande wa mashtaka wamekamilisha kutoa ushahidi katika kesi ya ubakaji kwa kikundi na ulawiti kwa binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini

Na Mwandishi wetu Kilimanjaro. Wakazi wa kijiji cha Makiwaru cha wilaya ya Siha, Sanya Juu, mkoani Kilimanjaro wanasababu ya kutabasamu baada ya kampuni ya michezo

Dar es Salaam. Wakati matukio ya kikatili ikiwemo ulawiti, vipigo yakiendelea kuripotiwa nchini Tanzania, wanaharakati wanasheria na waandishi wa habari wamesema lazima Taifa liungane katika

Tabora. Baadhi ya wakulima wa tumbaku mkoani hapa waliopata hasara katika msimu wa kilimo wa 2023/24, wamezilalamikia benki kuwanyima mikopo kwa ajili ya maandalizi ya

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, ameipongeza Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa

Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa wamependekeza ilani za vyama zitokane na Dira ya Taifa ya Maendeleo. Wameeleza hayo

Musoma. Mkoa wa Mara unakabiliwa na changamoto ya utapiamlo mkali kwa watoto walio chini ya miaka mitano kwa kiwango cha asilimia 3.4, huku tatizo la