
August 21, 2024


MKUU WA WILAYA YA ILEJE MKOANI SONGWE ,FARIDA MGOMI AMEWASILISHA TAALIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM
Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe.Farida Mgomi amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM katika kikao cha Halmashauri kuu ya CCM ya Wilaya ya Ileje. Taarifa hiyo imepokelewa na wajumbe Hapo ni taarifa ya fedha za serikali zilizopokelewa kutekekeza miradi, lkn pia makusanyo ya mapato ya ndani na mapato kutoka…

DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA LAWAVUTA VIJANA WA MWANZA, SHINYANGA KUJIANDIKISHA
Vijana ni kundi kubwa la Wananchi ambao wameanza kujitokeza kwa wingi vituoni kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ili waweze kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu ujao wa mwaka 2025. Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, ambaye pia ni Jaji wa Mahakama Kuu, Mhe. Asina Omari (wapili kulia) akikagua zoezi la uboreshaji…

Wawili watoa ushahidi kesi ya ‘waliotumwa na afande’
Dodoma. Mashahidi wawili wa upande wa mashtaka wamekamilisha kutoa ushahidi katika kesi ya ubakaji kwa kikundi na ulawiti kwa binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam. Washtakiwa katika kesi hiyo ni askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) MT.140105 Clinton Damas, askari Magereza C.1693 Praygod Mushi, Lord Lema na Nickson…

Kampuni ya BetPawa yatatua matatizo ya maji kijiji cha Makiwaru, yatumia Sh24.4m kukamilisha mradi
Na Mwandishi wetu Kilimanjaro. Wakazi wa kijiji cha Makiwaru cha wilaya ya Siha, Sanya Juu, mkoani Kilimanjaro wanasababu ya kutabasamu baada ya kampuni ya michezo ya kubashiri ya betPawa kukamilisha mradi wa kisima cha maji safi. Mradi huo ulikabidhiwa kwa wanakijiji hao jana na Meneja Masoko wa betPawa Kanda ya Afrika Mashariki, Bi. Borah Ndanyungu…

Wadau waonyesha njia kukabili matukio ya unyanyasaji katika jamii
Dar es Salaam. Wakati matukio ya kikatili ikiwemo ulawiti, vipigo yakiendelea kuripotiwa nchini Tanzania, wanaharakati wanasheria na waandishi wa habari wamesema lazima Taifa liungane katika kuripoti na kupaza sauti wa matukio ya namna hiyo. Baada ya kupaza sauti, wameshauri sheria kufuata mkondo wake ili wale wote wanaohusika na vitendo hivyo wawajibishwe kwa mujibu wa sheria…

Walima tumbaku Tabora walalama kunyimwa mikopo na taasisi za fedha
Tabora. Baadhi ya wakulima wa tumbaku mkoani hapa waliopata hasara katika msimu wa kilimo wa 2023/24, wamezilalamikia benki kuwanyima mikopo kwa ajili ya maandalizi ya msimu mpya wa kilimo. Inaelezwa kuwa hasara hiyo ilisababishwa na mvua kubwa zilizonyesha mwishoni mwaka jana na mwanzoni mwaka huu ambazo ziliharibu tumbaku yao shambani na kuwafanya wengi wao kushindwa…

WaterAid yamkosha Jafo kwa utekelezaji SDGs Kisarawe
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, ameipongeza Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs). Jafo ametoa pongezi hizo leo jijini Dar es Salaam wakati akipokea taarifa ya Mradi wa Uboreshaji wa Tabia za Usafi kwenye shule 30 na vituo…

Wataka ilani za vyama zitokane na dira ya Taifa
Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa wamependekeza ilani za vyama zitokane na Dira ya Taifa ya Maendeleo. Wameeleza hayo leo Jumatano Agosti 21, 2024 wakati wa mjadala wa kutoa maoni kuhusu uboreshaji wa mpango wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, ulioratibiwa na Tume ya Taifa ya Mipango….

Asilimia 3.4 ya watoto Mara wanateswa na utapiamlo mkali
Musoma. Mkoa wa Mara unakabiliwa na changamoto ya utapiamlo mkali kwa watoto walio chini ya miaka mitano kwa kiwango cha asilimia 3.4, huku tatizo la udumavu likiwa ni asilimia 23.4. Kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2022, mkoa huo una jumla ya watoto 391,191 wenye umri wa chini ya miaka mitano….