Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: August 21, 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • 21
Magazeti

MAGAZETI YA LEO ALHAMISI AGOSTI 22, 2024

August 21, 2024 Admin
Read More
Habari

MKUU WA WILAYA YA ILEJE MKOANI SONGWE ,FARIDA MGOMI AMEWASILISHA TAALIFA YA UTEKELEZAJI WA ILANI YA CCM

August 21, 2024 Admin

    Mkuu wa wilaya ya Ileje mkoani Songwe Mhe.Farida Mgomi amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani ya CCM katika kikao cha Halmashauri kuu ya

Read More
Habari

DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA LAWAVUTA VIJANA WA MWANZA, SHINYANGA KUJIANDIKISHA

August 21, 2024 Admin

Vijana ni kundi kubwa la Wananchi ambao wameanza kujitokeza kwa wingi vituoni kujiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ili waweze kupiga kura katika

Read More
Habari

Wawili watoa ushahidi kesi ya ‘waliotumwa na afande’

August 21, 2024 Admin

Dodoma. Mashahidi wawili wa upande wa mashtaka wamekamilisha kutoa ushahidi katika kesi ya ubakaji kwa kikundi na ulawiti kwa binti mkazi wa Yombo Dovya, jijini

Read More
Habari

Kampuni ya BetPawa yatatua matatizo ya maji kijiji cha Makiwaru, yatumia Sh24.4m kukamilisha mradi

August 21, 2024 Admin

Na Mwandishi wetu Kilimanjaro. Wakazi wa kijiji cha Makiwaru cha wilaya ya Siha, Sanya Juu, mkoani Kilimanjaro wanasababu ya kutabasamu baada ya kampuni ya michezo

Read More
Habari

Wadau waonyesha njia kukabili matukio ya unyanyasaji katika jamii

August 21, 2024 Admin

Dar es Salaam. Wakati matukio ya kikatili ikiwemo ulawiti, vipigo yakiendelea kuripotiwa nchini Tanzania, wanaharakati wanasheria na waandishi wa habari wamesema lazima Taifa liungane katika

Read More
Habari

Walima tumbaku Tabora walalama kunyimwa mikopo na taasisi za fedha

August 21, 2024 Admin

Tabora. Baadhi ya wakulima wa tumbaku mkoani hapa waliopata hasara katika msimu wa kilimo wa 2023/24, wamezilalamikia benki kuwanyima mikopo kwa ajili ya maandalizi ya

Read More
Habari

WaterAid yamkosha Jafo kwa utekelezaji SDGs Kisarawe

August 21, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Selemani Jafo, ameipongeza Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zilizofanya vizuri katika utekelezaji wa

Read More
Habari

Wataka ilani za vyama zitokane na dira ya Taifa

August 21, 2024 Admin

Dar es Salaam. Baadhi ya wajumbe wa Baraza la Vyama vya Siasa wamependekeza ilani za vyama zitokane na Dira ya Taifa ya Maendeleo. Wameeleza hayo

Read More
Habari

Asilimia 3.4 ya watoto Mara wanateswa na utapiamlo mkali

August 21, 2024 Admin

Musoma. Mkoa wa Mara unakabiliwa na changamoto ya utapiamlo mkali kwa watoto walio chini ya miaka mitano kwa kiwango cha asilimia 3.4, huku tatizo la

Read More

Posts pagination

1 2 … 13 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.