NIONAVYO: Inafikirisha klabu kuhamia ugenini

WAPENDWA wasomaji wetu, hii ni makala ya 100 katika safu hii ya Nionavyo. Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa hatua hii, maana kwa zaidi ya majuma 100 ametuwezesha kuifanya kazi hii. Mrejesho na msukumo kutoka kwenu wasomaji ndio umewezesha kufanikiwa katika yote. Udhaifu wa safu hii unabaki kuwa wa kwangu binafsi. Ahsanteni sana! Wiki iliyopita tulishuhudia klabu…

Read More

Wakulima Rukwa wakataa ‘kukopwa’ | Mwananchi

Rukwa. Wakulima mkoani Rukwa wameitaka Serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA), kuharakisha kuwalipa malipo yao pindi wanapokwenda kuuza mazao yao ili wajikwamue kiuchumi. Wakulima wametoa wito huo kufuatia malalamiko yao ya kutumia muda mrefu katika vituo vya ununuzi wakisubiri malipo yao bila mafanikio, jambo linalowakwamisha kufanya shughuli nyingine za kiuchumi. Mkulima…

Read More

Tawido yalia na Dar matukio ya ukatili

Dar es Salaam. Mkoa wa Dar es Salaam umedaiwa kurekodi matukio mengi ya ukatili wa kijinsia kutokana na kesi walizopokea Shirika la Tanzania Women Initiatives for Development Organization (Tawido). Takwimu hizo zimetolewa leo agosti 21 ,2024 na mkurugenzi wa shirika hilo, Sophia Lugilahe alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari, viongozi wa dini na taasisi mbalimbali za…

Read More

Simba vs Fountain Gate bado hatihati kuchezwa

KIKOSI cha Fountain Gate kimeanza safari ya kutoka Lindi kuja jijini Dar es Salaam kwa mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Simba utakaopigwa Jumapili, huku ikiwa bado haijajua hatma kama mechi hiyo itachezwa au la. Timu hiyo ilishindwa kucheza mchezo wa kwanza dhidi ya Namungo, Agosti 17 kwenye Uwanja wa Majaliwa Ruangwa, Lindi kwa…

Read More