Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Day: August 25, 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • 25
Kimataifa

Guterres atoa wito wa kukomeshwa kwa ghasia za Myanmar, mateso dhidi ya Warohingya – Masuala ya Ulimwenguni

August 25, 2024 Admin

Takriban Warohingya milioni moja wanajihifadhi nchini Bangladesh na zaidi ya 130,000 zaidi wametafuta mahali pa usalama katika eneo lote bila matarajio ya haraka ya kurudi,

Read More
Habari

Dk. Rweikiza atangaza donge nono watakaopata DIV I na II shule ya Brilliant

August 25, 2024 Admin

  MBUNGE wa Bukoba Vijijini (CCM), Dk. Jasson Rweikzia, ametangaza kwamba kwenye mtandao wa shule za St Anne Marie Academy unaominilikia pia shule ya Brilliant

Read More
Kimataifa

WHO inatafuta $135 milioni kushinda mpox – Global Issues

August 25, 2024 Admin

“Kukabiliana na mlipuko huu tata kunahitaji mwitikio wa kimataifa wa kina na ulioratibiwa,” WHO Mkurugenzi Mkuu Tedros Adhanom Ghebreyesus aliiambia Nchi Wanachama, kama kesi zilienea

Read More
Habari

Benki ya NBC Yachochea Ukuaji Sekta ya Michezo, Burudani na Utalii Zanzibar, Rais Samia, Dkt Mpango Wapongeza.

August 25, 2024 Admin

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) mwishoni mwa wiki ilishiriki kikamilifu kwenye Tamasha la Kizimkazi Zanzibar kwa kuandaa matukio kadhaa ya kimichezo, burudani na utalii

Read More
Habari

RAIS DKT. SAMIA KUFUNGUA RASMI KIKAO KAZI CHA MSAJILI WA HAZINA NA WAKUU WA TAASISI AGOSTI 28, 2024 JIJINI ARUSHA

August 25, 2024 Admin

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufungua rasmi kikao kazi cha Wenyeviti wa Bodi na Watendaji wakuu wa Taasisi

Read More
Habari

Wanane wafariki dunia, zaidi ya 12 wajeruhiwa ajali ya Hiace Mara

August 25, 2024 Admin

Watu wanane wamefariki dunia huku wengine zaidi ya 12 wakijeruhiwa katika ajali iliyotekea Kijiji cha Kyandege wilayani Bunda Mkoa wa Mara. Ajali hiyo iliyohusisha gari

Read More
Habari

NCBA golf series imerudi tena kwa kishindo

August 25, 2024 Admin

Kwa mara nyingine tena michuano ya mchezo wa Golf Tanzania maaarufu kama NCBA Golf imerejea kwa kishindo, ambapo ikiwa ni wiki chache baada ya awamu

Read More
Habari

Serikali kushusha kocha timu ya taifa ya Golf kwa wanawake

August 25, 2024 Admin

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amesema Serikali imepanga kuleta kocha wa kigeni kwa ajili ya kuifundisha timu ya Taifa ya

Read More
Habari

Simulizi watoto waliokufa maji Rorya, Samia atuma rambirambi

August 25, 2024 Admin

Rorya. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa jumla ya Sh30 milioni kama rambirambi kwa familia zilizopoteza watoto sita kwenye bwawa

Read More
Habari

ASAS yapongezwa kwa kukuza Tamaduni kupitia Tamasha la Kizimkazi

August 25, 2024 Admin

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digital Rais Samia Suluhu Hassan amepongeza juhudi za kampuni ya ASAS kwa mchango wake mkubwa katika kukuza na kulinda tamaduni za

Read More

Posts pagination

1 2 … 9 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.