Mukwala, Ahou waanza kutupia Simba 


Licha kupoteza nafasi tatu za wazi ndani ya dakika 45 za kipindi cha kwanza, mshambuliaji wa Simba raia wa Uganda, Steven Mukwala ameanza kucheka na nyavu baada ya Simba kushinda mabao 4-0 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa Uwanja wa KMC Complex.

Related Posts