
Tanzania yajiweka mahala pazuri katika utekelezaji wa mkataba IOMOU
TASAC yaweka mikakati katika usimamizi wa utekelezaji wa mkataba kwenda katika uchumi wa Bluu Na Chalila Kibuda,Michuzi TV Imeelezwa kuwa Tanzania imeweza kutekeleza hati ya makubaliano ya Ukaguzi wa Meli katika Bahari ya Hindi (IOMOU) katika kufanya ukaguzi wa Meli za Kigeni na kuwa mfano wa kuigwa. Hayo ameyasema Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya…