Skip to content
  • Privacy Policy

HabariMpya

Habari za Kitaifa

  • Privacy Policy

Month: August 2024

  • Home
  • 2024
  • August
  • Page 10
Habari

Kesi ya kujeruhi na kutioa lugha chafu yapigwa kalenda

August 30, 2024 Admin

Na Imani Nathaniel, Mtanzania Digital Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeahirisha kesi ya tuhuma ya kujeruhi na kutoa lugha chafu inayomkabili wanandoa

Read More
Habari

Ujerumani yawatimua wahalifu wa Afghanistan – DW – 30.08.2024

August 30, 2024 Admin

Msemaji wa serikali ya Ujerumani Steffen Hebestreit amewataja raia hao 28 wa Afghanistan kama wahalifu waliopatikana na hatia lakini hakuelezea wazi makosa yao. Katika taarifa,

Read More
Michezo

Simulizi ya aliyeachiwa huru kesi ya Milembe, wenzake wakihukumiwa kunyongwa

August 30, 2024 Admin

Geita. Musa Pastory (34), Mkazi wa Kijiji cha Buyanga, Kata ya Bugalama, Halmashauri ya Msalala mkoani Shinyanga ni kati ya washtakiwa wanne walioshtakiwa wakidaiwa kumuua

Read More
Habari

SERIKALI KUENDELEA KUBORESHA SHERIA ZA ULINZI WA WATOTO

August 30, 2024 Admin

Serikali imesema imejidhatiti kuendelea kufanyia maboresho sheria za ulinzi wa Watoto ili ziweze kuendana na wakati huu wa sasa kwa maslahi mapana ya kuwalinda Watoto.

Read More
Michezo

Zahera, Namungo lolote linaweza kutokea

August 30, 2024 Admin

NAMUNGO imepoteza mechi ya pili mfululizo katika Ligi Kuu Bara msimu huu baada ya kufungwa mabao 2-0 na Fountain Gate na ghafla Mtendaji Mkuu, Omar

Read More
Habari

LHRC, THBUB zataka hatua matukio ya utekaji, mauaji nchini

August 30, 2024 Admin

Dar/Dodoma. Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), kimetoa wito kwa Serikali kuona haja ya kuridhia mkataba wa kimataifa wa ulinzi kwa watu wote

Read More
Habari

MAHITAJI YA UWEKEZAJI KWENYE SEKTA YA AFYA NCHINI NI MAKUBWA- MAJALIWA

August 30, 2024 Admin

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema nchi wanachama ikiwemo Tanzania zimejitahidi kuwekeza katika sekta ya afya na kupunguza gharama za kupeleka wagonjwa nje ya Kanda kwa

Read More
Habari

Matumaini kupata maji safi yarejea Mbokomu

August 30, 2024 Admin

Moshi. Wakazi zaidi ya 15,800 wa Kata ya Mbokomu, Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, ambao walikuwa wakikabiliwa na changamoto ya maji safi baada ya miundombinu

Read More
Habari

Kamishna Wakulyamba Apongeza Jitihada za Uimarishaji wa Hifadhi za uhifadhi misitu na utalii Wilayani Tanga.

August 30, 2024 Admin

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Kamishna Benedict Michael Wakulyamba, amepongeza juhudi za Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kuimarisha

Read More
Michezo

Badru: Kachwele ni Samatta mtupu

August 30, 2024 Admin

KOCHA mpya wa Songea United, Mohammed Badru amempigia chapuo kijana aliyemnoa katika timu za vijana pale Azam, Cyprian Kachwele ambaye kwa sasa anaichezea Vancouver Whitecaps

Read More

Posts pagination

Previous 1 … 9 10 11 … 343 Next

Categories

  • Burudani
  • Habari
  • Kimataifa
  • Magazeti
  • Michezo
All Rights Reserved 2024.
Proudly powered by WordPress | Theme: Fairy by Candid Themes.