JKT Stars yaifunga DB Lioness

TIMU ya mpira wa kikapu ya JKT Stars iliishinda timu ya DB Lioness   kwa pointi 64-52 katika ligi ya kikapu mkoa wa Dar es Salaam iliyofanyika kwenye Uwanja wa Donbosco Oysterbay. Timu ya JKT Stars ikiongozwa na Jesca Ngisaise,  ilianza mchezo huo kwa kasi hali iliyofanya iongoze  katika robo ya kwanza kwa pointi 24-11. Robo…

Read More

‘Tanzania yakua kwa kasi kibiashara Afrika’

Dar es Salaam. Wakati ikielezwa kuwa Tanzania ni miongoni mwa nchi zinazokua kwa kasi Afrika na ya kimkakati wa kibiashara, Kampuni ya DHL Express imejitolea kuja na ajenda ya kulinda mazingira. Mkurugenzi wa Kanda wa Nchi za Kusini na Afrika Mashariki wa Kampuni ya DHL Express, Fatima Sullivan amesema hayo jana Jumatano Agosti 12 jijini…

Read More

THBUB YATOA TAMKO KUHUSU KUPOTEA KWA WATU NCHINI

Na Gideon Gregory, Dodoma. Kufuatia matukio ya kupotea kwa watu nchini Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), imesema inaendelea kufanya chunguzi maalum za matukio hayo kwa lengo la kubaini, pamoja na mambo mengine chanzo na wahusika ili kutoa mapendekezo stahiki. Hayo yameelezwa leo Agosti 22,2024 Jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Tume hiyo…

Read More

YANGA WANA MATATIZO, HAWAJITAMBUI – MWANAHARAKATI MZALENDO

    Anaandika mwana mitandao maarufu Tanzania anayefahamika kama Ujugu Hapa    Nataka twende taratibu ili tuelewane. Mdogo mdogo mpaka mwisho. Kama unajijua una mihemko, usisome hili andiko, HALIKUHUSU! Mimi nafahamu sehemu yenye furaha ukileta habari za huzuni watu lazima wakufikirie una vina saba vya uchawi. Kwa sasa Yanga ipo kileleni, kila mwaka inapata mafanikio ya…

Read More

TMA yatoa tahadhari kuelekea mvua za vuli

Dar es Salaam. Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetahadharisha uwepo wa joto kali na uwezekano wa kuwapo mlipuko wa magonjwa katika kipindi cha mvua za vuli kitakachoanza Oktoba hadi Desemba, 2024. Mbali na athari hizo, sekta ya kilimo na usalama wa chakula, mifugo na uvuvi, maliasili, wanyamapori na utalii, nishati na maji, usafirishaji…

Read More

Mshindi Avuna Shilingi Milioni 20 Kwenye Kampeni ya “NI BALAA!” Kutoka Vodacom Tanzania – MWANAHARAKATI MZALENDO

Ni Balaa! Kila Mtu ni Mshindi! Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania Plc, George Venanty (kushoto),akimkabidhi mfano wa hundi ya TZS 20,000,000/- mshindi wa kwanza wa kipengele kikuu wa droo ya kampeni ya ‘Ni Balaa!’, Bankason Yusuph wakati wa hafla ya kutoa zawadi kwa washindi mbalimbali,  iliyofanyika tarehe 16 Agosti 2024, jijini Arusha.Kampeni…

Read More