Tanzania yapokea ushauri ujenzi daraja Dar- Zanzibar

Dar es Salaam. Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Profesa Kitila Mkumbo amesema Serikali imeyapokea mapendekezo na maoni yaliyotolewa juu ya ujenzi wa daraja kutoka Tanzania bara (Dar es Salaam) kwenda visiwani Zanzibar. Mbali na hilo amesema matumizi ya pesa ya China (Yuan) na shilingi ya Tanzania katika shughuli za biashara na…

Read More

Makambo atamba kuwajaza tena | Mwanaspoti

BAADA ya kurejea tena nchini kwa mara ya tatu, mshambuliaji wa Tabora United, Heritier Makambo, ametamba mapema kwamba awamu hii amekuja kivingine na kutaka kurejesha heshima mbele ya mashabiki wanaokikubali kipaji alichonacho hasa kwa ile staili ya kuwajaza kila alipotupia mpira nyavuni. Makambo amejiunga na Tabora akitokea Al Murooj ya Libya, japo hakuanza mechi dhidi…

Read More

Jeuri ya Aussems ipo hapa!

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars raia wa Ubelgiji, Patrick Aussems amesema kwa sasa anajivunia upana na ubora wa timu hiyo baada ya kuanza vyema Ligi Kuu Bara msimu huu, huku wachezaji wote wakionyesha utayari wa kupambania kikosi hicho. Aussems amezungumza hayo baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya KenGold katika mechi ya kwanza…

Read More

Asilimia 31 ya watoto Mara wanabeba mimba

Tarime. Asilimia 31 ya watoto wenye umri kati ya miaka 15 – 19 katika Mkoa wa Mara wanapata mimba za utotoni, jambo linaloelezwa kuwa na madhara katika ustawi wa watoto na jamii nzima mkoani humo. Hayo yamebainishwa leo Agosti 22, 2024 mjini Tarime na Mratibu wa Huduma za Afya na Uzazi na Mtoto Mkoa wa…

Read More

Mbowe amtaka Samia kuunda tume utekaji watu 200

  MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kutumia mamlaka yake kwa mujibu sheria ya uchunguzi mahsusi kuunda tume ya kimahakama ya majaji kuchunguza tuhuma za utekaji wa watu zaidi ya 200 ambao wengi wao wanadaiwa kutekwa na vyombo vya dola. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…

Read More

Cheza Sloti ya Zombie Apocalypsie kuvuna mapesa

  Huu ni moja kati ya michezo migni ya Meridianbet rahisi kucheza na kushinda, kwa kubonyeza kitufe cha Spin tayari mchezo utafunguka na utaweka dau utakalo ili kuwa mtaji wako wa utajiri. Jisajili sasa na cheza Zombie Apocalypsie ushinde Mamilioni. Hatua za Ushindi Kasino ya Mtandaoni Zombie Apocalypse ni Sloti yenye mistari 20 ya malipo,…

Read More