Dereva wa New Force matatani kwa kuendesha mwendo kasi

Mbeya. Jeshi la Polisi Kitengo cha Usalama Barabarani Mkoa wa Mbeya, linamshikilia dereva wa basi la kampuni ya New Force (jina limehifadhiwa),  kwa kosa la kuendesha kwa mwendokasi wa zaidi ya kilomita 100 kwa saa na kukiuka sheria za usalama barabarani. Basi hilo lilikuwa likisafirisha abiria kutoka Dar es Salaam kwenda  Tunduma mkoani Songwe kupitia…

Read More

NIONAVYO: Hommage ya Issa Hayatou

WAPO Watanzania wengi ambao wakiulizwa waonyeshe taifa la Cameroon lilipo katika ramani ya Afrika wanaweza kushindwa mtihani. Ukiondoa rekodi ya kuwa taifa lililoongozwa na Rais mmoja, Paul Biya kwa miaka mingi, Cameroon haiko sana katika vichwa vya habari za kisiasa. Jambo kubwa na la pekee ambalo limeitangaza Cameroon kwenye vichwa vya habari kwa miaka mingi…

Read More

Marioo aitikia wito na kufika katika ofisi za BASATA

Msanii wa kizazi kipya Omary Ally Mwanga Maarufu kama Marioo mapema leo ameitikia wito na kufika katika ofisi za Baraza la Sanaa la Taifa  lengo ikiwa ni kufanya majadiliano na Katibu Mtendaji wa @basata.tanzania Dkt. Kedmon Mapana kuhusiana na sakata la wimbo wake wa “Iphone users” alioutoa Msanii huyo kuwa na maneno yaliyoleta utata katika…

Read More

nchi zatumia vizuizi vya usafiri kama mbinyo kwa upinzani – DW – 22.08.2024

22.08.202422 Agosti 2024 Takriban serikali 55 duniani kote zinatumia vizuizi vya usafiri kama sehemu ya mbinu zao za ukandamizaji dhidi ya wapinzani wa kisiasa. Shirika la kutetea haki za binadamu la mjini Washington Freedom House limesema. https://p.dw.com/p/4jmRH Polisi wa Tunisia wakiwa wamejihami kuwakabilia waandamanaji wanaopinga sera za rais Kais Saied.Picha: Zoubeir Souissi/REUTERS Shirika hilo limesema…

Read More

Afariki ajali ya moto akijaribu kuuzima shambani

Morogoro. Mratibu wa Elimu, Kata ya Tomondo aliyetambuliwa kwa jina la Mwenge Mnune, amefariki dunia baada ya kuungua kwa moto shambani kwake , wakati akijaribu kuuzima moto huo alioukuta ukiteketeza mazao kwenye shamba hilo. Tukio hilo linadaiwa kutokea Agosti 21, 2024 katika kitongoji cha Banzayage kilichopo katika kata ya Kiroka, mkoani Morogoro ambapo Mnuna na…

Read More

Huko Kigoma kuna vita ya  maafande!

KIVUMBI cha Ligi Kuu Bara kitaendelea tena kesho Ijumaa kwa mchezo mmoja tu wa raundi ya pili kati ya Mashujaa itakayokuwa nyumbani kuwakaribisha maafande wenzao wa Tanzania Prisons kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika, mjini Kigoma. Mchezo wa kwanza wa ufunguzi wa ligi, Mashujaa ikiwa nyumbani iliondoka na pointi tatu ikiiadhibu Dodoma Jiji bao 1-0 lililowekwa…

Read More

Mkanwa amrithi Josiah Biashara Utd

KLABU ya Biashara United ya Mara imeingia makubaliano ya msimu mmoja na Henry Mkanwa kuwa kocha mkuu wa timu hiyo kwa msimu ujao wa Ligi ya Championship, huku akiwa na kibarua cha kuipandisha daraja kwenda Ligi Kuu baada ya kukwama msiimu uliopita. Kocha huyo wa zamani wa Tabora United, Usalama FC na Polisi Mara anachukua…

Read More

MBOWE AMTAKA RAIS SAMIA KUUNDA TUME YA UCHUNGUZI WA TUHUMA ZA UTEKAJI NA UKAMATAJI HOLELA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ametoa wito kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutumia mamlaka yake kuunda Tume ya Mahakama ya Majaji ili kuchunguza tuhuma zinazohusu utekaji, upotezaji, na ukamataji holela wa raia nchini. Akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam leo, Mbowe alieleza…

Read More