Mikoa mguu sawa, Riadha Taifa ikifunguliwa kesho

Mikoa imetambiana kutwaa ubingwa wa riadha kwenye mashindano ya Taifa yanayofunguliwa kesho Ijumaa jijini hapa. Tayari mikoa karibu yote imewasili jijini Mwanza tayari kwa mashindano hayo ya siku mbili yatakayofikia tamati keshokutwa Jumamosi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa baadhi ya mikoa wameeleza walivyojipanga kutwaa ubingwa wa msimu huu. Kocha wa mkoa Pwani, Elias Hotay…

Read More

MAKAMU WA RAIS AWEKA JIWE LA MSINGI KWA MRADI WA SKIMU YA UMWAGILIAJI YA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN DODOMA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ameweka jiwe la msingi kwa ajili ya ujenzi wa Mradi wa Jenga Kesho Iliyobora (BBT) wa Skimu ya Umwagiliaji ya Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Kijiji cha Mlazo, Wilaya ya Chamwino, mkoani Dodoma. Ziara ya Mhe. Dkt. Mpango ililenga kuzindua mradi huo…

Read More

Mikoa mguu sawa, Riadha Taifa ikifunguliwa leo

Mikoa imetambiana kutwaa ubingwa wa riadha kwenye mashindano ya Taifa yanayofunguliwa kesho Ijumaa jijini hapa. Tayari mikoa karibu yote imewasili jijini Mwanza tayari kwa mashindano hayo ya siku mbili yatakayofikia tamati keshokutwa Jumamosi. Wakizungumza kwa nyakati tofauti viongozi wa baadhi ya mikoa wameeleza walivyojipanga kutwaa ubingwa wa msimu huu. Kocha wa mkoa Pwani, Elias Hotay…

Read More

Mbowe: Serikali ikae chini na wananchi sakata la Ngorongoro

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ameitaka Serikali kukaa chini na wakazi wa Ngorongoro,  na kuona namna ya kumaliza changamoto zilizopo eneo hilo badala ya kutumika kwa nguvu. Mbali na hilo, Mbowe amemtaka Rais Samia Suluhu Hassan kama ‘mfariji mkuu’ kuwasikiliza wananchi wa Ngorongoro pamoja na kuwarejeshea huduma…

Read More

Baada ya kukwama, watoto wa Hans Poppe wajipanga upya

WATOTO wa marehemu Zacharia Hans Poppe, wanakusudia kuwasilisha mahakamani maombi mengine ya ama kuziunganisha kampuni tatu zinazomilikiwa na baba yao mzazi ili ziweze kuwa sehemu ya wadaiwa katika kesi ya mirathi au wachukue hatua zingine katika mahakama nyingine. Watoto hao, Angel na Abel ambao ni wasimamizi wa mirathi, katika kesi ya mirathi ya Zacharia HansPoppe …

Read More

Nsekela afafanua ujenzi kituo cha Suluhu Sports Academy

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela amesema kituo cha Suluhu Sports Academy kinachojengwa kitakuwa kitovu cha michezo mbalimbali. Nsekela ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya ujenzi wa kituo hicho, ameyasema hayo Zanzibar leo, Agosti 22,2024 kwenye hafla ya kuweka jiwe la msingi katika akademi hiyo inayojengwa Mkunguni- Kizimkazi Zanzibar huku…

Read More