Majaliwa: Suluhu Sports Academy itasaidia vijana kuonyesha vipaji

Dar es Salaam. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Ujenzi wa Suluhu Sports Akademi utasaidia kujenga mfumo wa kuwaandaa vijana kucheza michezo mbalimbali. Majaliwa ameyasema hayo Zanzibar leo, Agosti 22,2024 kwenye hafla ya kuweka Jiwe la Msingi kwenye kitu hicho kinachojengwa Mkunguni- Kizimkazi Zanzibar huku mgeni rasmi akiwa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan. Majaliwa amesema…

Read More

TCB YASISITIZA KUENDELEA KUWA MDAU MKUBWA WA MAENDELEO VISIWANI ZANZIBAR.

Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imeungana na wananchi wa kizimkazi Zanzibar kwenye siku ya utalii kusherehekea ufahari wa utamaduni wa Kitanzania, vivutio vya utalii, umoja na mshikamano katika tamasha la Kizimkazi linaloendelea kufanyika visiwani Zanzibar. Benki imeendelea kusisitiza dhamira yake ya kushirikiana na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar katika vipaumbele vyake katika kukuza maendeleo ya kiuchumi,…

Read More

Minziro aibukia Mwadui FC | Mwanaspoti

BAADA ya kuachana na Kagera Sugar, Fredy Felix ‘Minziro’ ameibukia Mwadui FC inayojiandaa na Ligi ya Champpionship msimu huu, huku akipewa kibarua cha kuunda kikosi cha timu hiyo kitakacholeta ushindani na kupanda Ligi Kuu. Minziro aliachana na Kagera Sugar baada ya mkataba wake kuisha msimu uliopita nafasi yake ikichukuliwa na Mganda, Paul Nkata, ambapo ameingia…

Read More

Waongoza watalii wafunguka maandamano wakazi Ngorongoro

  BAADHI ya waongoza watalii katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro, jijini Arusha, wamewataka watu wanaohamasisha wakazi waishio hifadhini humo kuandamana kuacha kwani kitendo hicho kinachafua taswira ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Arusha … (endelea). Wito huo umetolewa ikiwa zimepita takribani siku nne tangu wakazi wa Tarafa ya Ngorongoro kuingia barabarani kufanya maandamano wakiitaka Serikali…

Read More

FREEMAN MBOWE ALALAMIKIA VITENDO VYA UTEKAJI NCHINI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ameibua maswali mazito kuhusu ongezeko la matukio ya utekaji wa viongozi na wananchi mbalimbali nchini Tanzania. Akizungumza na wanahabari mapema leo jijini Dar es Salaam, Mbowe alidai kuwa vitendo hivi vimeendelea kuongezeka, huku vyombo vya usalama vikilaumiwa kwa kukaa kimya na kutokuchukua hatua za kisheria…

Read More

WATAALAMU KITENGO CHA BANDARI WMA WAAHIDI WELEDI ZAIDI KAZINI 

Meneja wa Kitengo cha Bandari, Wakala wa Vipimo Tanzania (WMA), Alfred Shungu akikagua mtungi maalum unaotumika kuhakiki ujazo wa gesi asilia katika vituo vinavyotumika kujaza gesi hiyo kwenye magari. WMA hufanya kazi ya kuhakiki Pampu zinazotumika kujazia gesi ili kumlinda mlaji/mnunuzi na muuzaji, wote wapate faida stahiki. Mojawapo ya vituo vya kujaza gesi asilia kwenye…

Read More