STELLA LUDMAN MALITI ASHINDA MEDALI YA SHABA KATIKA SHINDANO LA HISABABTI LA AFRIKA, PAMO 2024 – MWANAHARAKATI MZALENDO

Stella Ludman Maliti, mwanafunzi wa shule ya sekondari ya wasichana Marian, ameipatia Tanzania sifa kubwa baada ya kushinda medali ya shaba katika Shindano la Hisabati la Afrika, maarufu kama Pan African Mathematics Olympiad (PAMO) 2024. Shindano hilo linalenga kuwaunganisha wanafunzi kutoka nchi mbalimbali za Afrika kwa ajili ya kuonyesha umahiri wao katika somo la hisabati….

Read More

Serikali kuweka mazingira bora kwa Wafanyabiashara

Waziri wa viwanda na biashara Dr, Suleman Jafo amesema serikali itaendelea kuweka mazingira bora ya ufanyaji biashara ikiwemo kuboresha miundombinu, usafiri na tehama kwa lengo la kurahisisha biashara na kupunguza gharama za uzalishaji wa huduma bora ili kukuza soko la ndani pamoja na nje ya nchi kama vile marekani. Dr, Jafo ameyasema hayo leo wakati…

Read More

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA ATOA WITO WA UMOJA NA MAENDELEO KWENYE TAMASHA LA KIZIMKAZI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa, ameongoza tamasha kubwa la Kizimkazi lililofanyika jana katika uwanja wa Shekha Dimbani, Zanzibar. Tamasha hilo lilikusudia kukuza utalii na utamaduni wa Zanzibar, likivutia mamia ya washiriki kutoka pande mbalimbali za nchi. Akizungumza kama mgeni rasmi wa tamasha hilo, Mheshimiwa Majaliwa aliwasihi Watanzania kuendelea kushirikiana…

Read More

WANAGDSS WATAKA WATUHUMIWA WANAODAIWA KUMBAKA BINTI WA YOMBO WASHUGHULIKIWE

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV WANAHARAKATI wamepaza sauti zao kuhakikisha haki inatendekea kwa washtakiwa wanadaiwa kumbaka kwa kundi na kumlawiti binti aliyejitambulisha anatokea Yombo Dar es Salaam ambapo mpaka sasa kesi bado ipo mahakamani na watuhumiwa wameshakamatwa. Wakitoa maoni yao leo Agosti 21, 2024 katika Semina za Jinsia na Maendeleo ambazo hufanyika kila Jumatano, wanaharakati…

Read More

MUME WANGU ANATIMIZA MAJUKUMU YAKE NDANI YA NDOA

Ni ukweli kwamba kila mwanamke anapoolewa anafuata mapenzi ya kweli kwa mume wake, vingine vyote anakuwa ameviacha nyumbani kwao. Jina langu ni Mama Janeth kutokea Babati, nimeishi kwenye ndoa miaka saba sasa, nashukuru mimi na mume wangu tumejaliwa kupata watoto wawili na maisha yetu wanasoga vizuri. Baada ya miaka minne ya ndoa yetu, mume wangu…

Read More

Aviator na Super Heli inatoa mamilioni na JBL

  Wiki iliyopita walipatikana washindi wa promosheni ya kibabe, na wakaondoka na zawadi zao katika awamu ya kwanza, na sasa zawadi bado zipo nyingi sana Meridianbet awamu ya pili inaendelea kuchanja mbunga na wengi wanajishindia zawadi zao. Ili ushinde unatakiwa kucheza michezo pendwa ya kasino Aviator na Super HELI kwa dau dogo la kuanzia Tsh…

Read More