Kifo cha Issa Hayatou cha acha simanzi Afrika

Hii imekua wiki ya Huzuni huku Soka la Afrika likichukua siti ya nyuma wakati huu ambapo bara hili linaomboleza kifo cha Hayati Issa Hayatou. Issa Hayatou atakumbukwa kwa ukaribu wake na viongozi wengine wa ngazi za juu kwenye soka barani humu ambako ujamaa urafiki,umoja na undugu ni maisha ya kawaida . Hayatou alikua kiongozi shupavu…

Read More

Kinachoweza kuzivusha ‘startup’ katika changamoto

Tafiti nyingi zinaonyesha zaidi ya asilimia 80 ya biashara changa na bunifu (startups) barani Afrika, changamoto yake kubwa ni kukosa mtaji na ufadhili, hili linatajwa kusababisha kifo cha zilizo nyingi bila kujali zingeleta matokeo makubwa kiasi gani. Changamoto nyingine ni sera zisizo rafiki, usimamizi mbovu na kukosekana kwa rasilimali watu wenye uwezo wa kukuza zaidi…

Read More