MAJALIWA: TAASISI ZA SERIKALI ZINAZODAIWA NA TEMESA KUKIONA

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amemuagiza Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) Lazaro Kilahala, kuwasilisha Ofisini kwake orodha ya Taasisi zote za Serikali zinazodaiwa na Wakala huo ili aweze kuwaandikia baraua ya kusisitiza kulipa madeni yao. Agizo hilo amelitoa leo, Agosti 20, 2024 jijini Arusha wakati akifungua kongamano la Tatu la madereva wa…

Read More

Msako kwa magari yasiokaguliwa kuanza Septemba Mosi

Dodoma. Jeshi la Polisi Nchini litaanza msako wa vyombo vya moto ambavyo vitakuwa havijakaguliwa hadi kufikia Septemba Mosi,2024. Mbali na hilo, jeshi hilo limesema ajali za usiku baada ya mabasi ya abiria kuruhusiwa kusafiri usiku na zinazotokana na madereva wa Serikali zimepungua. Hayo yamesemwa leo Jumatano Agosti 21,2024 na Kamanda wa Usalama wa Barabarani, Ramadhan…

Read More

WIZARA YA NISHATI YASHIRIKI TAMASHA LA KIZIMKAZI ZANZIBAR

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar WIZARA ya Nishati pamoja na Taasisi zake leo Agosti 21, 2024 zimeshiriki katika Tamasha la Kizimkazi (Kizimkazi Festival) yanayoendelea kwenye kijiji cha kizimkazi wilaya ya Kusini mkoa wa Kusini Kisiwani Zanzibar. Katika tamasha hilo la Kizimkazi Wizara na taasisi zinatoa elimu ya utekelezaji wa Sera ya Nishati ya mwaka 2015 pamoja…

Read More

Wagonjwa 12 hufanyiwa upasuaji wa ubongo, mgongo Bugando

Mwanza. Watu saba wamefanyiwa upasuaji wa kuondoa uvimbe kwenye ubongo na tatizo la mgongo, miongoni mwa 12 wanaotakiwa kupatiwa tiba hiyo kwenye kambi maalumu ya siku tano iliyoanza Agosti 19, 2024 na inatarajiwa kukamilika Agosti 23, 2024 katika Hospitali ya Bugando. Jopo la madaktari bingwa kutoka Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando jijini Mwanza…

Read More

MSD yataja mikakati kushusha gharama za ‘dialysis’

Dar es Salaam. Bohari ya Dawa (MSD) imetaja mikakati kuhakikisha wenye magonjwa sugu ya figo wanaohitaji huduma ya kuchujwa damu kupitia mashine maalumu ‘dialysis’ wanapata huduma hiyo kwa gharama nafuu. Wenye kuhitaji huduma hiyo, hulazimika kulipia kati ya Sh180,000 mpaka Sh150,000 kwa mzunguko mmoja ambao huchukua takribani saa nne, huku mgonjwa akihitaji kupewa tiba hiyo…

Read More

Dagaa waadimika Moshi, walaji wahaha

Moshi. Wafanyabiashara wa dagaa Manispaa ya Moshi, mkoani Kilimanjaro wameeleza sababu za kupungua kwa bidhaa hiyo kuwa ni ushindani wa wafanyabiashara wakubwa kutoka Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) na kupungua kwa dagaa katika Ziwa Victoria. Kauli ya wafanyabiashara hao imekuja ikiwa ni wiki moja tangu kuadimika kwa bidhaa hiyo kwenye viunga vya Manispaa ya…

Read More