MADIWANI KIBAHA MJI WAFANYA KWELI WAPIGA HODI KWA RAIS DKT. SAMIA NA WAZIRI AWESO

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA  Baraza la madiwani katika  Halmashauri ya mji Kibaha limemuomba Rais Dkt.Samia Suluhu Hassan kuwapatia baadhi ya eneo la ardhi ambayo inamilikiwa na shirika la elimu Kibaha ili waweze kuiendeleza katika shughuli mbali mbali za kiuchumi na kimaendeleo. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya mji Kibaha Mussa Ndomba  wakati wa  kikao cha…

Read More

Ishu ya Freddy, Simba ipo hivi

UONGOZI wa Simba uko katika hatua za mwisho za kuachana na mshambuliaji, Freddy Michael baada ya kuitumikia kwa miezi sita akitokea Green Eagles ya Zambia. Hatua ya Simba kuachana na nyota huyo inakuja baada ya kukamilisha dili la mshambuliaji Mcameroon, Leonel Ateba aliyetua huu akitokea USM Alger ya Algeria. Akizungumza na Mwanaspoti, Ofisa Habari na…

Read More

Dk Jafo asisitiza usafi kuepusha magonjwa

Dar es Salaam. Waziri wa Viwanda na Biashara, Dk Selemani Jafo amesema huduma bora za maji, usafi wa mazingira na usafi binafsi (WASH) katika Wilaya ya Kisarawe, Mkoa wa Pwani zitaimarisha ukuaji wa uchumi kutokana na kupungua kwa mzigo wa magonjwa yanayotokana na maji. Dk Jafo ametoa kauli hiyo leo Agosti 21, 2024 jijini Dar…

Read More

Magoma, Yanga jino kwa jino mahakamani uhalali wa Katiba

 Licha ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutengua hukumu yake iliyobatilisha Katiba ya Klabu ya Dar es Salaam, Young African Sports,  maarufu kama Yanga, ya mwaka 2011, kufuatia kesi  iliyofunguliwa na Juma Ally Magoma na Geoffrey Mwaipopo, pande hizo mbili zinaendelea kukabana koo mahakamani. Hii inatokana na hatua ya Bodi ya Wadhamini wa Klabu ya…

Read More

Makambo, Yacouba wakomaliwa Tabora Utd

KIKOSI cha Tabora United kimerejea jana mazoezini baada ya kupoteza mchezo wa kwanza wa Ligi Kuu Bara kwa mabao 3-0 mbele ya Simba, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Mkenya Francis Kimanzi akiwakomalia nyota wapya akiwemo Heritier Makambo na Yacouba Songne waliokosa mchezo uliopita. Baada ya kichapo hicho, Kimanzi alitoa mapumziko ya siku mbili kwa…

Read More

Uchakavu wa madarasa unavyoweka hatarini maisha ya wanafunzi 212 Shule ya Msingi Iyuli

Songwe. Majengo ya Shule ya Msingi Iyuli iliyopo kata ya Mlale wilayani ileje mkoani Songwe yapo hatarini kubomoka kutokana na kuta za majengo hayo kuzungukwa na nyufa, huku wanafunzi wakihofia usalama wao. Shule hiyo ilianzishwa mwaka 1993 ambapo wananchi na Serikali walisaidiana kujenga, kwa lengo la kuwasaidia wanafunzi waliokuwa wanasafiri umbali wa kilomita 12 kutoka…

Read More

Mashujaa Queens yahamia Dar | Mwanaspoti

WAKATI msimu mpya wa Ligi Kuu ya Wanawake (WPL), ukisubiriwa kwa hamu kuanza, Amani Queens (kwa sasa Mashujaa) imetangaza kuhamia Dar es Salaam kuwa makao makuu badala ya Lindi ilipokuwa awali. Msimu uliopita Amani ilimaliza katika nafasi ya sita katika msimamo wa WPL ikishinda mechi saba, sare mbili na kupoteza mechi tisa. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More