
Mloganzila yakamilisha maandalizi kambi ya upasuaji wa nyonga na magoti
HOSPITALI ya Muhimbili tawi la Mloganzila, imewataka watanzania wenye shida ya magoti na nyonga wajitokeze kwaajili ya kambi ya upasuaji kutoka kwa wataalamu wa ndani watakaoshirikiana na wabobezi kutoka nchini India. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea). Kambi hiyo ya itakayoanza tarehe 26 mwezi huu hadi tarehe 30 itafanyika kwenye hospitali ya…