
SHERIA KUTUNGWA PASIPO KUZINGATIA TAFITI CHANZO CHA KUFANYIWA MAREKEBISHO MARA KWA MARA- DKT. RWEZIMULA
NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Dkt. Franklin Rwezimula,akizungumza wakati akifungua Warsha Juu ya Umuhimu wa Utafiti katika Maboresho ya Sheria Tanzania kwa niaba ya Waziri wa Katiba na Sheria Prof.Palamagamba Kabudi iliyofanyika leo Agosti 21,2024 jijini Dodoma. MWENYEKITI wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania Jaji wa Mahakama ya Rufani,Winifrida Korosso,akizungumza wakati…