UJENZI WA KITUO CHA KUSHINDILIA NA KUJAZA GESI ASILIA KWENYE MAGARI WAFIKIA ASILIMIA 33.5

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV UJENZI wa Kituo cha Kushindilia na Kujaza gesi asilia (CNG) kwenye magari uliopo Ubungo Jijini Dar es Salaam unatarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu, na hadi sasa ujenzi umefikia asilimia 33.5. Katika ujenzi huo, uundaji wa mitambo itakayokuja kusimikwa unaendelea kufanyika nchini China na tayari umefikia asilimia 76. Akizungumza leo…

Read More

Hukumu kesi ya Benki za Equity kutolewa Oktoba 18

Dar es Salaam. Mahakama Kuu Divisheni ya Biashara, Dar es Salaam imepanga kutoa hukumu ya kesi ya mkopo inayozikabili Benki za Equity Tanzania Limited (EBT) na Equity Kenya Limited (EBK), Oktoba 18, 2024. Mahakama imepanga kutoa hukumu tarehe hiyo baada ya kumaliza kusikiliza ushahidi wa pande zote. Usikilizwaji wa kesi hiyo imefungwa rasmi leo, Jumatano,…

Read More

Wacheza gofu watano viwanjani Entebbe Uganda Open

BAADA ya Madina Idd kushinda mashindano ya wazi wa gofu ya wanawake nchini Uganda, wacheza gofu watano kutoka Tanzania wako viwanjani kusaka ubingwa wa mashindano ya wazi ya Uganda yanayoanza asubuhi hii kwenye viwanja vya gofu vya Entebbe nchini humo. Ni mashindano makubwa ambayo mdhamini wake mkuu kampuni ya John Walker amemwaga mzigo wa Sh500…

Read More

Tanzania kutangaza utajiri wa madini duniani

Dar es Salaam. Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema Serikali imejipanga kutumia mkutano wa wadau wa kimataifa wa sekta ya madini,  kutangaza utajiri wa madini yaliyopo ili kuwavutia wawekezaji. Mkutano huo ulioandaliwa na Chemba ya Migodi Tanzania kwa kushirikiana na Wizara ya Madini unatarajiwa kufanyika kuanzia Novemba 19 hadi 21 mwaka huu ukiwa na kauli…

Read More

Upanga, Pak Stars tishio Kombe la TCA

MAMBO ni mazuri kwa timu za Upanga, Pak Stars na Caravans baada ya kuibuka wababe mechi za kriketi kuwania Kombe la TCA jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Zilikuwa ni mechi za mizunguko 50 ambazo zilichezwa kwenye viwanja vya Dar Gymkhana na Leaders Club na hivyo kuwapa burudani wapenzi wa mchezo wa kriketi. Mechi…

Read More

RITA yawataka Watanzania kusajili wosia kuepuka migororo katika familia

  MKUU wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick Sawala amewataka makatibu tawala wa wilaya na maofisa ustawi wa jamii katika halmashauri zote za mikoa ya Lindi, Mtwara na Ruvuma kuhamasisha wananchi kuandika wosia ili kupunguza malalamiko na migogoro inayoweza kuepukika kwa warithi pindi wazazi au wategemewa wanapofariki. Anaripoti Mwandishi wetu, Mtwara … (endelea). Akizungumza katika…

Read More