Gofu ya ‘wazito’ kunogesha utalii visiwani

WACHEZA gofu 70 kutoka mataifa tisa duniani wanategemewa kunogesha msimu wa utalii Zanzibar huku viwanja vya gofu vya Sea Cliff vikiwa tayari kwa ajili mashindano ya watendaji wakuu na maofisa wa kibalozi kutoka nchi mbalimbali mapema mwezi ujao. Kwa mujibu wa Elias Soka, nahodha ya klabu ya Sea Cliff na mratibu wa mashindano hayo kila…

Read More

Polisi 5 wanaodaiwa kumtorosha mfungwa aliyeua wanawake 42, waburuzwa mahakamani

  MAOFISA watano wa polisi wanaotuhumiwa kumsaidia mfungwa anayehusishwa na mauaji ya wanawake 42 kutoroka gerezani jijini Nairobi, wamefikishwa mahakamani. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa … (endelea). Hatua hiyo inajiri wakati huu wakati oparesheni kali ikiwa imeanzishwa kumsaka Collins Jumaisi, mshukiwa wa mauaji ya wanawake hao aliyetoroka mahabusu pamoja na raia wengine 12 Eritrea. Jumaisi (33),…

Read More

UBISHI WA MZEE WA KALIUA: Awesu ni MVP mpya Msimbazi?

PENGINE bado ni mapema sana, lakini kuna wachezaji tayari wameanza kuwasha moto mwanzoni kabisa mwa msimu. Joshua Mutale bado anajitafuta. Steven Mukwala bado anajipiga piga kifuani. Debora Fernandez taratibu aanza kuonyesha ni kwanini Simba wamemchukua, lakini Awesu Awesu tayari gari limewaka. Ukitazama mechi yake ya kwanza akiwa na jezi ya Mnyama Simba unaona umaridadi wa…

Read More

Kukatika kwa muunganiko wa mawasiliano ya Telegram, WhatsApp kulikumba nchini Urusi

Huduma za kutuma ujumbe Telegram na WhatsApp zilikumbwa na matatizo makubwa nchini Urusi siku ya Jumatano, mdhibiti rasmi wa vyombo vya habari nchini humo Roskomnadzor alisema. “Mnamo Agosti 21, kuanzia saa 2 usiku, Kituo cha Ufuatiliaji na Udhibiti cha Mtandao wa Mawasiliano ya Umma kilirekodi usumbufu mkubwa katika uendeshaji wa messenger Telegram na WhatsApp,” ilisema…

Read More

Dk. Mpango aagiza TARURA kukarabati barabara Kondoa

  Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango ameagiza Wakala wa Barabara Mijini na Vijiji (TARURA) kufanya ukarabati wa Barabara ya Ntundwa – Hurui ya Wilayani Kondoa ili kuwarahisishisa wananchi shughuli za kiuchumi ikiwemo usafirishaji mazao. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Makamu wa Rais ametoa maagizo hayo leo Jumatano baada ya kuweka jiwe la msingi…

Read More

SPOTI DOKTA: Ligi imeanza na majeraha ya Kigimbi hayakosi

HIVI sasa Ligi mbalimbali duniani zimeanza kutimua vumbi katika viwanja vya soka ikiwamo hapa nyumbani Ligi Kuu Bara iliyoanza wiki iliyopita. Vile vile kule nchini Uingereza mwishoni mwa wiki iliyopita ligi kuu ya EPL nayo imeanza kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali ikijumuisha timu zilizopanda daraja ikiwamo Leicester City. Kawaida tumezoea kuona majeraha mbalimbali ambayo huwa…

Read More