Obama na mkewe wampigia upatu Kamala Harris kuwa rais – DW – 21.08.2024

Katika hotuba zao zilizofuatiana Obama na mkewe, wameisifu rikodi ya kisiasa na utumishi ya Kamala Harris wakimwelezea kuwa kiongozi aliye tayari kubeba majukumu mazito ya kuingoza dola hiyo kubwa na yenye nguvu duniani. Wote wawili wamesema tajriba ya Kamala Harris inatosha kuwasaidia Wamarekani kurejesha matumaini na kuipigania demokrasia dhidi ya Donald Trump ambaye wamekumbusha muhula…

Read More

Wakili Mbedule apia ‘Jeki’ halmashauri ya Iringa

   Mwandishi Wetu IRINGA:Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imepata msaada wa vifaa vya michezo kutoka kwa Wakili wa kujitegemea na mdau wa maendeleo, Jimbo la Kalenga, Sosten Mbedule ambaye ametoa seti sita za vifaa vya michezo na mipira minne. Wakili Mbedule ametoa msaada huo baada ya ombi lililowasilishwa na Halmashauri hiyo kwa wadau mbalimbali ili…

Read More

Jinsi elimu ya mpigakura inavyoepusha wababaishaji, vurugu

Dodoma. Tangazo la uchaguzi wa Serikali za mitaa, lililotolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa linakwenda sambamba na utoaji wa elimu ya mpigakura. Ni uchaguzi utakaofanyika Jumatano ya Novemba 27, 2024, baada ya uliofanyika Novemba 2019 ambao ulilalamikiwa na wananchi wengi, vikiwamo baadhi ya…

Read More

Benki ya NBC Yakabidhi Zawadi Zenye thamani ya Tsh Milioni 40 Kwa Washindi wa Kampeni ya ‘Shinda Mechi Zako Kinamna Yako’

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekabidhi zawadi zenye jumla ya Tsh Milioni 40 kwa washindi wa kampeni yake ya ’Shinda mechi zako Kinamna yako’ inayolenga kuchochea ukuaji wa uchumi miongoni mwa wateja wake kupitia uwekaji wa akiba. Jumla washindi 45 wamepatikana katika kipindi cha miezi mitatu ya kampeni hiyo ya mwaka mmoja kupitia droo…

Read More