Jinsi mawakili wa kina Magoma, Yanga walivyochuana

Akifafanua hoja ya kwanza, wakili Rashid  (wa Yanga) amedai kuwa uamuzi ambao kina Magoma wameukatia rufaa ni uamuzi mdogo ambao kwa mujibu kifungu cha 74 (2) cha Sheria ya Mashauri ya Madai (CPC), Sura 33, haukatiwi rufaa. Huku akirejea uamuzi wa kesi moja iliyowahi kuamuriwa na aliyekuwa Jaji Mkuu, Francis Nyalali, Wakili Rashid  kwa kuwa…

Read More

KAMBAYA AWACHAMBUA WAPINZANI, AWATAKA WATANZANIA WAWAPUUZE

*Aomba msamaha kuwadanganya Watanzania kuhusu Prof .Lipumba na ubobezi wa uchumi… Na Said Mwishehe, Michuzi TV ALIYEKUWA mwanachama wa siku nyingi katika Chama cha Wananchi (CUF) na aliyeshika nafasi mbalimbali za uongozi ndani ya Chama hicho  Abdul  Kambaya ambaye kwa sasa amejiunga na CCM amewataka Watanzania kutopoteza muda wao kwa vyama vya upinzani kwani havina…

Read More

Mbivu mbichi rufaa ya Magoma,Yanga Sept 9

Hatma ya uhalali wa rufaa ya klabu ya Yanga, sasa itajulikana Septemba 9, mwaka huu wakati Mahakama Kuu, Masjala ya Dar es Salaam, itakapotoa uamuzi wa pingamizi dhidi ya rufaa hiyo. Rufaa hiyo imefunguliwa na Juma Ally Magoma na mwenzake Geoffrey Mwaipopo, wakipinga uamuzi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoa wa Dar es Salaam, Kisutu…

Read More

Matumizi ya teknolojia mahakamani yapunguza rushwa

Matumizi ya teknolojia wakati wa usikilizwaji wa mashauri kwenye Mahakama nchini kumetajwa kupunguza malalamiko ya vitendo vya rushwa na urahisishaji wa upatikanaji haki kwa wakati. Hayo yamebanishwa na Dokta Angelo Rumisha Jaji wa Mahakama kuu ya Tanzania na Mkuu wa kitengo cha maboresho ya mahakama nchini wakati akizungunza na Waandishi wa habari kituo jumuishi Cha…

Read More

Watendaji wa mitaa, kata wabebeshwa ajenda kupinga ukatili

Dar es Salaam. Watendaji wa kata na mitaa nchini wamehimizwa kuibeba ajenda ya kupinga ukatili wa kijinsia katika mipango ya maendeleo kwenye maeneo yao. Pia wametakiwa kutoa elimu kwa makundi mbalimbali ili kuyasaidia kupata uelewa na kuunga mkono jitihada za kupambana na ukatili wa kijinsia katika jamii. Wito huo umetolewa Agosti 29, 2024, jijini Dar…

Read More

Mashaka afichua ramani vita Simba, amtaja Fadlu

KINARA wa mabao wa Ligi Kuu na klabu ya Simba, Valentino Mashaka, amefichua siri ya kuanza na moto Msimbazi, akisema hii imetokana na kocha wa timu hiyo, Davids Fadlu anayemtaka kujiongeza uwanjani kwa kukaba pindi hawamiliki mpira, jambo ambalo amekuwa akilifanyia kazi mara kwa mara. Mashaka aliyetua Simba akitokea Geita Gold iliyoshuka daraja msimu uliopita,…

Read More