Hotuba ya Mkutano wa Biden Ilitoa Madai Ya Upuuzi Kuhusu Sera Yake ya Gaza – Masuala ya Ulimwenguni

Timu ya Umoja wa Mataifa ikikagua bomu lenye uzito wa pauni 1,000 ambalo halijalipuka likiwa kwenye barabara kuu huko Khan Younis. Credit: OCHA/Themba Linden Maoni na Norman Solomon (san francisco, Marekani) Jumatano, Agosti 21, 2024 Inter Press Service SAN FRANCISCO, Marekani, Agosti 21 (IPS) – Uchunguzi kutoka kwa George Orwell — “wale wanaodhibiti sasa, wanadhibiti…

Read More

NIKWAMBIE MAMA: Wizi fedha za miradi unatisha

Uzuri wa Serikali yetu ni kwamba hakuna swali linalokosa majibu. Kunaweza kukosekana ufumbuzi wa matatizo yetu ya miaka mingi, lakini majibu ya malalamiko yote yapo. Kwa mfano majibu ya tatizo la kukosekana kwa kituo cha afya lililodumu kwa miaka thelathini ni “Mchakato umeshakamilika na mkandarasi ameshatafutwa, tunasubiri mwaka wa fedha ili tuidhinishe mradi”. Lakini cha…

Read More

Mbivu, mbichi uchaguzi mkuu wa kwanza Sudan Kusini Desemba 22

Jumapili ya Desemba 22, mwaka huu, Sudan Kusini inatarajiwa kufanya uchaguzi mkuu wa kwanza tangu nchi hiyo ilipopata uhuru wake mwaka 2011. Uchaguzi huu ulipaswa kufanyika mapema mwaka 2015, lakini kutokana na jaribio la mapinduzi na machafuko yaliyofuata, uchaguzi huo uliahirishwa. Hadi mwaka 2015, Katiba ya mpito ya mwaka 2011 ya nchi hiyo ilihitaji uchaguzi…

Read More

Kikwete Aihimiza Umoja wa Afrika na Maendeleo ni Zaidi ya Uchaguzi Katika Chuo cha Ulinzi cha Nigeria

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Jumatatu, alitoa mhadhara wa kusisimua katika Chuo cha Ulinzi cha Taifa cha Nigeria huko Abuja, akisisitiza juu ya uelewa mpana wa demokrasia na akitoa msisitizo mkubwa juu ya umuhimu wa umoja kwa maendeleo ya Afrika. Akiongea na viongozi wa kijeshi, maafisa wa serikali, na wageni wengine mashuhuri, Dkt. Kikwete…

Read More

FYATU MFYATUZI: Hongereni mafyatu kwa kumpenda Mama

‘Mwanafalsafa’ maarufu wa Uganda, alhaj, Doktari, field Marshall, profedheha Idi Amin Kaidada Oumee aliyepata elimu yake mtaani, aliwahi kusema kuwa lazima watawaliwa wawapende watawala bila kujali lolote au wanawatweza vipi. Lazima wawasifie hata wakikosea. Wawachekee hata kama wanapaswa kulia. Wawaabudu ikibidi hata kama wao si Mungu. Kwani, kufanya hivyo, huleta ‘amani na maendeleo’ hata kama…

Read More