Nilivyoacha kuvuta sigara baada ya miaka 21

Ukweli ni kwamba warahibu wengi wa uvutaji Sigara wanatamani kuondoka katika mtindo huo wa maisha lakini wanashindwa, sio kazi rahisi hata kidogo, ukiona mtu amefanikiwa ni jambo la kumpongeza sana. Nasema hivyo kwa sababu mimi ni mmojawapo wa watu waliopitia changamoto hiyo miaka ya nyuma, nilitamani kuacha lakini nikashindwa, hadi nikatumia na dawa mbalimbali ila…

Read More

Wizi fedha za miradi unatisha

Uzuri wa Serikali yetu ni kwamba hakuna swali linalokosa majibu. Kunaweza kukosekana ufumbuzi wa matatizo yetu ya miaka mingi, lakini majibu ya malalamiko yote yapo. Kwa mfano majibu ya tatizo la kukosekana kwa kituo cha afya lililodumu kwa miaka thelathini ni “Mchakato umeshakamilika na mkandarasi ameshatafutwa, tunasubiri mwaka wa fedha ili tuidhinishe mradi”. Lakini cha…

Read More

BASHUNGWA AMKABIDHI DKT. MSONDE TAASISI YA TEMESA NA TBA, ATAKA MAGEUZI NDANI YA MIEZI MITATU.

Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemuelekeza Naibu Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Dkt. Charles Msonde kuhakikisha anazisimamia Taasisi za Wakala wa Ufundi na Umeme (TEMESA) na Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) kufanya mabadiliko na kutafuta ufumbuzi wa changamoto zinazokabili Taasisi hizo ili kuboresha utendaji na ufanisi wa Taasisi hizo. “Namjua Dkt. Msonde nimefanya nae kazi…

Read More

“Tuingie kazini sasa” – DW – 21.08.2024

Wakiwatahadharisha Wademocrat kwamba wana mapambano makali mbele yao, rais wa zamani wa Marekani Barack Obama na mkewe Michelle, Jumanne, walitoa wito kwa Wamarekani kumkumbatia Kamala Harris katika ujumbe walioutoa katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Democratic huko Chicago. “Marekani, matumaini yanarudi,” alisema Michelle Obama. Baada ya hapo bi Obama akamshambulia Donald Trump, kinyume na ilivyokuwa katika…

Read More

Haya ndiyo yanaweza kubatilisha matokeo ya uchaguzi

Dodoma. ‘Serikali za mitaa, sauti ya wananchi, jitokezeni kushiriki uchaguzi.’  Kauli hii inahimiza wananchi kushiriki kikamilifu katika uchaguzi wa serikali za mitaa Novemba 27, mwaka huu. Kwa kushiriki uchaguzi, wananchi wanapata fursa ya kuchagua viongozi wanaowaamini watawakilisha sauti zao kwa ufanisi. Ushiriki huu unahakikisha kuwa sauti za wananchi zinasikika na kujumuishwa katika maamuzi yanayowagusa moja…

Read More

Tido Mhando afichua kilichoiponza Tanzania Olimpiki – 3

Nami pia nikapata bahati ya kwenda kote, Algiers na Edmonton. Kama kawaida kote umaarufu uliojengeka wa wanamichezo wa Tanzania ulionekana bayana waliogopewa na kuheshimiwa. Jambo moja walilokuwa nalo wanamichezo wengi wa Tanzania siku zile ni ari na jeuri kubwa ya kupambana uwanjani ikiongezewa na kujiamini. Hii ilitokana na maandalizi ya uhakika waliyokuwa wakipatiwa. Kwa mfano…

Read More

Yacouba Songne matumaini kibao Bongo

BAADA ya kukaa jukwaani katika mchezo uliopita dhidi ya Simba, nyota wa Tabora United, Yacouba Songne amesema alikuwa na shauku kubwa ya kucheza tena Ligi Kuu Bara, lakini sasa anahamishia nguvu kwa Namungo kuhakikisha anaisaidia timu yake kuanza vizuri msimu huu. Tabora United ambayo msimu huu ni wa pili Ligi Kuu Bara, ilianza ligi kwa…

Read More

Gamondi ashtukia mchongo, afanya maamuzi ‘KONKI’

YANGA ina uhakika mkubwa wa kuimaliza mechi ya marudiano dhidi ya Vital’O ya Burundi kwenye Uwanja wa Mkapa Jumamosi baada ya ushindi mabao 4-0 wikiendi iliyopita. Mwanaspoti limejiridhisha kwamba Kocha wa Yanga, Miguel Gamondi mwili wake upo Dar es Salaam lakini akili ipo Addis Ababa, Ethiopia kwenye mechi ya marudiano ya CBE ya huko na…

Read More