Wanawake waongoza mashauri ya ndoa, familia

Dar es Salaam. Wanawake wametajwa kuwa mstari wa mbele kuripoti mashauri ya ndoa na kifamilia kuliko wanaume, sababu zikiwa ni ongezeko la talaka, kutafuta mirathi na matunzo ya watoto. Hayo yamo kwenye ripoti ya msaada wa kisheria ya mwaka 2023 iliyotolewa na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) leo Jumanne Agosti 20, 2024…

Read More

WAZIRI MAVUNDE AMPONGEZA GODI MWANGA KWA KUWEKEZA

Na Mwandishi wetu, Simanjiro WAZIRI wa Madini Anthony Peter Mavunde amempongeza mwekezaji mzawa God Mwanga kwa namna alivyowekeza kwenye madini ya kinywe hapa nchini. Waziri Mavunde ameyasema hayo wakati akiweka jiwe la msingi kwenye kiwanda cha madini ya kinywe cha Permanent Minerals Ltd, kilichopo kijiji cha Kandasikira Kata ya Shambarai, Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara. Amesema…

Read More

Mtwara kusaini mikataba ya Sh23.5 bilioni ujenzi wa barabara

Mtwara. Meneja wa Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura) Mkoa wa Mtwara, Zuwena Mvungi amesema mwaka huu wanatarajia kuingia mikataba 75 yenye thamani ya Sh23.5 bilioni. Amesema hayo leo Jumanne Agosti 20, 2024 katika hafla ya utiaji saini mikataba 54 yenye thamani ya Sh17 bilioni. Mvungi amesema miradi hiyo inayokwenda kutekelezwa itaamsha ari…

Read More

KITUO CHA AFYA ENGARENAIBOR KIMEANZA KUTOA HUDUMA YA UPASUAJI

NAIBU Waziri wa Madini,Dkt Steven Kiruswa amewataka viongozi wa milla maarufu kwa jina la Laigwanani na viongozi wa serikali na Chama Cha Mapinduzi{CCM} ngazi ya Kitongoji,Kijiji na Kata kuwahimiza akina mama wajawazito wa jamii ya kifugaji ya kimasai kuhakikisha wanakwenda kujifungua katika vituo vya afya na sio nyumbani ili kuepusha vifo vilisivyo vya lazima. Dkt…

Read More

DKT.BITEKO AIPONGEZA EWURA KWA MWONGOZO WA USIMAMIZI WA USAFI WA MAZINGIRA NA TOPEKINYESI

• Asisitiza Ushirikiano wa Wadau katika usafi wa Mazingira nchini •Azitaka Mamlaka  kuweka mikakati  madhubuti ya usimamizi wa usafi wa mazingira Na.Mwandishi Wetu-DODOMA NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe, Dkt. Doto Mashaka Biteko  ameipongeza Mamlaka  ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kwa kuandaa Mwongozo wa Usimamizi wa Usafi wa Mazingira…

Read More

Chumi atoa agizo kukamilisha ujenzi barabara za Mufindi

Mufindi. Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (Tarura) Wilaya ya Mufindi, mkoani Iringa, umeagizwa kuhakikisha unawasimamia ipasavyo makandarasi wanaojenga  barabara katika Jimbo la Mafinga ili kuepusha kero kwa wananchi. Agizo hilo limetolewa leo Jumanne Agosti 20, 2024 na mbunge wa Mafinga Mjini na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…

Read More

VITONGOJI 3,060 NCHINI KUPELEKEWA UMEME, DKT BITEKO AWATAKA WAKANDARASI KUTOKUWADAI WANANCHI FEDHA ZA ZIADA.

Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe Dkt Dotto Biteko amewataka Wakandarasi waliosaini mikataba miradi ya kupeleka umeme kwenye Vitongoji 3,060 na REA akiwa Mtendaji Mkuu kuhakikisha hakuna mwananchi anayedaiwa fedha za zaida katika kufukishiwa umeme kwani serikali Serikali imekwisha kutenga fedha kwaajili ya miradi hiyo. Dkt Biteko ameyasema…

Read More