Kikwete: Demokrasia ni zaidi ya kupiga kura

Dar es Salaam. Rais mstaafu Jakaya Kikwete amesema demokrasia ni zaidi ya kupiga kura siku ya uchaguzi na kwamba wengi wanaposikia neno demokrasia wanahusisha na upigaji kura licha ya kwamba ina mambo mengi ndani yake. Kikwete alibainisha hayo Jumatatu Agosti 19, 2024 jijini Abuja, Nigeria wakati akitoa mhadhara kwenye Chuo cha Ulinzi wa Taifa cha…

Read More

MERIDIANBET YAADHIMISHA SIKU YA UTU DUNIANI KWA NAMNA YAKE

KAMPUNI ya Meridianbet imeadhimisha siku ya Utu duniani kwa namna ya tofauti baada ya kufika Kigamboni na kutoa msaada wa mahitaji muhimu kwa familia za hali ya chini mapema leo. Kampuni hiyo imeangalia namna ambayo inaweza kuadhimisha siku hii na njia pekee wameona ni kuzigusa zile familia ambazo hazijiwezi, Ambapo wametoa msaada wa mahitaji kama…

Read More

Fahamu siri ya msemo wa ‘mjomba ni mama’

Morogoro. Msemo wa, ‘mjomba ni mama’ unatumika katika jamii na makabila mbalimbali ya Kitanzania, lakini chimbuko lake ni Kabila la Waluguru linalopatikana Mkoa wa Morogoro. Mjomba anayezungumziwa hapa ni yule aliyezaliwa tumbo moja na mwanamke. Kwa Waluguru, wajomba wanapewa heshima kubwa na wanashikilia madaraka muhimu ndani ya familia kuliko baba. Juma Ng’ondavi, mwenyeji wa Kijiji…

Read More

Bilioni 366 kupeleka umeme kwenye vitongoji 3,060

  JUMLA ya Sh 366 bilioni zinatarajiwa kutumika kutekeleza mpango wa kupeleka umeme kwenye vitongoji 3,060 vilivyopo katika majimbo 15 katika awamu kwa kwanza. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Hayo yamebainishwa leo tarehe 20 Agosti 2024 jijini Dodoma na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko wakati wa hafla ya utiaji…

Read More

Madai ya Israel kukwamisha mazungumzo ya kusitisha mapigano – DW – 20.08.2024

Maafisa walio na karibu na mazungumzo hayo wanasema Israel inataka kuendeza uwepo wa kijeshi katika njia nyembamba kwenye mpaka kati ya Gaza na Misri ambayo inauita ukanda wa Philadelphia, pamoja na eneo ililoliunda linaloitenganisha Gaza Kaskazini na Kusini.Je, maeneo hayo yana umuhimu gani kwa Israel?  Haijabainika wazi iwapo udhibiti wa Israel wa njia hizi umejumlishwa…

Read More

Taa za kuongoza magari Tanzam zazima siku tatu

Mbeya. Hofu imetanda miongoni mwa madereva, abiria na watembea kwa miguu wanaotumia Barabara Kuu ya Tanzania na Zambia (Tanzam) baada ya taa za kuongoza magari katika eneo la Mafiati, Jijini Mbeya kupata hitilafu na kuzima kwa siku tatu mfululizo. Hali hii imezua hofu kwa madereva na wananchi, huku Jeshi la Polisi kupitia kitengo chake cha…

Read More