
TCB yaahidi kuwezesha wakulima kuuza mazao Ulaya, Marekani
BENKI ya Biashara ya Tanzania (TCB) imesema itaendelea kuunga mkono juhudi za serikali kwa kuhakikisha wakulima wadogo na wa kati kupata mikopo itakayowawezesha kuzalisha kwa tija mazao yao na kuyaongezea thamani yaweze kuuzwa ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Da es Salaam … (endelea). TCB imesema katika mkakati wake wa kupanua wigo…