Mgulani yatishia kushusha timu BDL

BAADA ya Mgulani (JKT) kuifunga Savio kwa pointi 66-62, timu hiyo ina nafasi ya kubwa ya kucheza hatua ya nane bora ya Ligi ya Kikapu Mkoa wa Dar es Salaam (BDL). Nafasi ya kucheza hatua hiyo itakuja endapo timu hiyo itashinda michezo minne iliyosalia ya mzunguko wa pili wa mashindano hayo. Kupanda kwa Mgulani kutoka…

Read More

Majaliwa ashtuka madereva wa Serikali kulogana

Arusha. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameshtushwa na madai ya madereva wa Serikali kulogana ili wapate magari ya kufanyia kazi. Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Juma Mtanda kwenye kongamano la tatu la madereva wa Serikali la mwaka 2024 linaloendelea jijini Arusha kwa siku nne mfululizo. Mtanda amesema baadhi ya madereva wamekuwa wakilogana…

Read More

Irene Uwoya: Mwanzo, mwisho kumrudia Mungu

MARA kadhaa Mwanaspoti limekuwa likimtafuta mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Irene Uwoya ili afunguke kuhusu maisha yake mapya baada ya kuokoka, aliyopitia na sababu kubwa iliyomfanya amrudie Mungu. Kama yalivyo maisha mengine ya wanadamu, haikosi misukosuko, hofu, ndoto za kutisha na hatimaye kupata maono na kuamua kuokoka. Irene anafunguka mengi na aliwahi kusema ipo siku…

Read More

Gibril Sillah anavyomtumia Pacome wa Yanga!

WINGA wa Azam FC, Gibril Sillah, amebainisha kwamba amekuwa akimtumia kiungo wa Yanga, Pacome Zouzoua kama sehemu ya kuimarisha kiwango kutokana na kufurahishwa na namna anavyocheza mwenzake. Kati ya vitu anavyovipenda Sillah kwa Pacome ni pale anapokuwa na mpira mguuni huwa hamuachii nafasi mpinzani  kumnyang’anya, badala yake anatumia akili na nguvu kuufikisha sehemu sahihi. “Pacome…

Read More