Milango ipo wazi kwa watoto kufikia ndoto zao!

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Skuli ya Maandalizi ya Tasani ikiwa ni muendelezo wa mchango wa Benki ya NMB katika kuchangia ukuaji wa elimu nchini. Kwa kutambua mchango wa Serikali ya Awamu ya Sita katika kuinua sekta ya elimu nchini, shule hiyo imepewa jina la Dkt. Samia…

Read More

Michael Urio achaguliwa Naibu Meya Kinondoni

Na Mwandishi Wetu, Mtanzania Digita Diwani wa Kata ya Kunduchi, Michael Urio, amechaguliwa kuwa Naibu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni  baada ya  Josephat Rwegasila kumaliza muda wake. Urio amechaguliwa kwa kura zote za ndio 21 kutokana na kuwa mgombea pekee katika uchaguzi huo ulifanyika leo Agosti 2024 kwenye Ukumbi wa Manispaa ya Kinondoni,…

Read More

TRA kutumia Ndondo Cup kutoa elimu ya kodi

Dar es Salaam. Wakati Tanzania ikilenga kutanua wigo wa walipa kodi ili kuongeza mapato yanayokusanywa, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imekuja na mkakati ili kufikia watu wengi zaidi na kuwapatia elimu ya kodi na ulipaji kodi kihalali. Ili kufanikisha hili TRA imejipanga kutumia mashindano ya Ndondo Cup kuhamasisha na kuelimisha umma kuhusu Stempu za Kielektroniki…

Read More

Rais Dkt. Samia Afungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makunduchi Kusini Unguja, Zanzibar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akivuta kitambaa kufungua Skuli ya Maandalizi Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa shamrashamra za Tamasha la Kizimkazi katika eneo la Makunduchi, Shehia ya Tasani Kusini Unguja, Zanzibar tarehe 20 Agosti, 2024. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan…

Read More