
Samia afungua skuli iliyojengwa na NMB kwa mil. 800
RAIS Samia Suluhu Hassan amefungua Skuli ya Maandalizi ya Tasani – Visiwani Zanzibar ambayo Benki ya NMB imegharamia ujenzi wake na uwekaji wa samani ikiwemo viti, meza na madawati kwa gharama ya Sh 800 milioni. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Skuli hiyo yenye madarasa matano na itaweza kupokea wanafunzi 200 kwa wakati mmoja….