Tulieni, Mtibwa Sugar inarudi Ligi Kuu Bara

LICHA ya kukiri ugumu uliopo katika ligi ya Championship, kiungo wa Mtibwa Sugar, Abdul Hilary amechimba mkwara kwa kusema hakuna timu ambayo inaweza kuwafanya kuwa na presha juu ya mpango wao wa kurejea Ligi Kuu Bara msimu wa 2025-2026. Mtibwa iliyowahi kutwaa ubingwa wa Bara misimu miwili mfululizo ya 1999 na 2000 ilishuka daraja msimu…

Read More

BSM, safari ya mafanikio, urithi usiofutika MCL

Bakari Steven Machumu (BSM) ameaga MCL akiwa na urithi mkubwa katika uongozi, uandishi wa habari, na ubunifu.Naam. Rafiki yangu na mwanahabari mwenzangu, Bakari Steven Machumu ambaye anapenda kulifupisha jina lake kwa herufi tatu – BSM, amemaliza safari ya kutukuka kitaaluma, kihabari na kiuongozi katika kampuni ya Mwananchi Communications Ltd (MCL). Bakari au BSM kama ninavyopenda…

Read More

MKONGO WA TAIFA KUUNGANISHA NCHI ZINAZOIZUNGUKA TANZANIA

  Na Mwandishi Wetu Arusha Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCL , limesema inandelea kuwezesha nchi zinazoizunguka Tanzania kupata huduma ya Mawasiliano kupitia Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano unao simamiwa na kuendeshwa na Shirika hilo. Shirika hilo linajivunia Jiografia nzuri ya Tanzania inayowasaidia kuwa kituo bora cha kuziwezesha nchi za jirani kama Kenya, Msumbiji, Zambia, Burundi…

Read More