Anayedaiwa kuua wanawake sita akiwamo mkewe atoroka polisi

Nairobi. Mtuhumiwa wa mauaji ya wanawake sita akiwamo mke, Collins Khalusha ametoroka katika Kituo cha Polisi cha Gigiri, Nairobi Kenya. Khalusha anadaiwa kuua kisha miili hiyo kuitupa katika machimbo ya Kware, Kaunti ya Embakasi. Mtuhumiwa huyo ambaye alikiri kuhusika na mauaji hayo alikuwa miongoni mwa watuhumiwa 13 waliotoroka kituoni hapo saa tatu asubuhi leo Jumanne…

Read More

Askari JWTZ, Magereza ‘waliotumwa na afande’ kortini tena leo

Dodoma. Kesi inayowakabili watu wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi wa Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na Jeshi la Magereza inaanza kusikilizwa leo Jumanne, Agosti 20, 2024, Mahakama ya Hakimu Mkazi, Dodoma. Watuhumiwa hao wamefikishwa mahakamani hapo leo, wakiwa wameunganishwa na watuhumiwa wa kesi nyingine tofauti na jana Jumatatu, walikuwa katika ulinzi mkali wenye msafara…

Read More

DC KASILDA AYANYOOSHEA KIDOLE MASHIRIKA BINAFSI.

NA WILLIUM PAUL, SAME. MKUU wa Wilaya ya Same, Kasilda Mgeni amewataka wamiliki wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) kuzingatia Sheria na taratibu za nchi kwenye utendaji kazi wao hasa pale inapotokea wanapata ufadhili kutanguliza uzalendo kwa nchi kwanza. Alisema kuwa, kumeshuhudiwa mara kadhaa baadhi ya watu wamekuwa wakitumia NGOs kueneza mambo ambayo yapo kinyume…

Read More

Simiyu yahamasisha wananchi kushiriki uchaguzi serikali za mitaa

  VIONGOZI wa Mkoa wa Simiyu wameanza kuhamasisha wananchi mkoani humo kujiandikisha katika daftari la wapiga kura, ili waweze kushiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa, unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Simiyu … (endelea). Akizungumzia kuhusu suala hilo hivi karibuni, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Kenani Kihongosi amewataka wananchi wa mkoa kujisajili…

Read More

SERIKALI KUSHIRIKIANA NA KAMPUNI YA WILLIAMSON DIAMOND KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO YA BEI YA ALMASI

MWADUI – SHINYANGA Serikali kwa kushirikiana na Kampuni Williamson Diamond inaweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na changamoto ya kushuka kwa bei ya madini ya almasi katika soko la Dunia kutokana na kuibuka kwa almas inayotengenezwa katika Maabara na kuongezeka kwa mahitaji ya madini mengine. Hayo yalielezwa na Waziri wa Madini Mhe.Anthony Mavunde wakati wa ziara…

Read More