Ngoma Arusha kupigwa mwezi ujao

TIMU za kikapu Mkoa wa Arusha zimekuwa zikisubiri kwa muda mrefu kuanza kwa ligi mkoani humo, lakini hatimaye katibu mkuu wa Chama cha Kikapu mkoa, Barick Kilimba ametangaza rasmi tarehe ya kuanza. Akizungumza na Mwanasposti, Kilimba alisema ligi hiyo inatarajiwa kuanza Septemba Mosi. Hata hivyo kiongozi huyo hakusema sababu zilizofanya ligi hiyo ishindwe kuanza mapema,…

Read More

Amnesty yamshutumu Ndayishimiye kwa ukiukaji wa haki – DW – 20.08.2024

Ripoti hiyo imebainisha kuwa kipindi hicho kimetawaliwa na vitendo vya ukiukaji wa haki vikiwemo unyanyasaji, watu kukamatwa kiholela, mashtaka yasiyo ya haki pamoja na vitisho.  Taarifa ya Amnesty International imebainisha kwamba miongoni mwa waliokabiliwa zaidi na ukandamizaji huo wa haki ni  watetezi wa haki za binadamu, wanaharakati, waandishi wa habari na wanachama wa vyama vya…

Read More

UDSM KUJENGWA MAABARA YA MAJARIBIO YA MADINI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV CHUO Kikuu Cha Dar Es Salaam kimesaini mkataba wa Makubaliano na Kampuni ya Yulho kutoka Korea Kusini kwaajili ya ujenzi wa maabara ya kufanya tafiti aina za Madini. Mradi huo utagharimu karibu kiasi cha shilingi bilioni 27 za kitanzania hadi kukamilika ikiwemo uwekwaji wa vifaa vya kisasa. Akizungumza na waandishi…

Read More

Nmb yajenga shule ya Samia,yazinduliwa Makunduchi ZNZ

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan leo hii emeifungua Shule ya Maandalizi ya Dkt Samia Suluhu Hassan Makunduchi Mkoa wa Kusini Unguja Tasani iliojengwa na Benki ya NMB Shule ya Dkt Samia ina Madarasa matano ambapo kila moja linabeba wanafunzi Arubaini ikijumuisha ofisi za walimu ,Stoo Vyoo vya walimu…

Read More

Ndege mpya ya Boeing iliyokwama jana kutua Zanzibar leo

Dar es Salaam. Ndege mpya ya Boeing B8787- Dreamliner iliyokwama kuwasili jana Jumatatu Agosti 19, 2024 kutokana na changamoto ya hali ya hewa sasa kupokewa leo Jumanne Zanzibar. Kwa mujibu wa ratiba mpya iliyotolewa leo Jumanne Agosti 20, ndege hiyo yenye uwezo wa kubeba abiria 262 inatarajiwa kutua saa 10:00 jioni kisiwani humo na kupokewa…

Read More

Planet yaichapa CUHAS | Mwanaspoti

Timu ya kikapu ya Planeti imeichapa CUHAS kwa pointi 74 -52 katika Ligi ya Kikapu Mkoa wa Mwanza (MRBA) kwenye mchezo uliopigwa katika Uwanja wa Mirogo. Michezo mingine iliyochezwa uwanjani hapo ilizikutanisha Profile iliyoifunga Young Profile kwa pointi 74-59 na Eagles ikaifumua Cross Over kwa pointi 68-44. Akizungumzia michezo hiyo, kocha maarufu wa kikapu mkoani…

Read More

TLS KUTOA WAKILI KUFUATILIA SAKATA LA BINTI ANAYEDAIWA KUBAKWA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, amepongeza hatua ya kuwafikisha Mahakamani watuhumiwa wa ubakaji na ulawiti wa binti mmoja maarufu kama “Binti wa Yombo,” ambaye kisa chake kilisambaa sana mitandaoni. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumanne, Agosti 20, 2024, Mwabukusi ameweka wazi kwamba TLS haitakoma kwa hatua hiyo pekee, bali…

Read More