Ngumi zitapigwa Songea Septemba 8, 2024

TAMASHA kubwa la ngumi za kulipwa Mkoa wa Ruvuma, limepangwa kufanyika Septemba 8, 2024 kwenye Uwanja wa Majimaji uliopo Songea mkoani humo. Muandaaji wa tamasha hilo, Jofrey Miti wa JBM Fitness Gym ya Lizaboni, alisema kuwa mapambano mbalimbali ya ngumi za kulipwa yatafanyika katika tamasha hilo lililopangwa kuanza saa 11:00 jioni. Miti alisema kuwa bondia…

Read More

RAIS SAMIA AZINDUA SKULI YA MAANDALIZI TASANI WAKATI WA TAMASHA LA KIZIMKAZI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amezindua Skuli ya Maandalizi Tasani katika kijiji cha Kizimkazi, Zanzibar, wakati wa Tamasha la Kizimkazi, tamasha ambalo limeendelea kujipambanua kama chachu ya maendeleo kwa wananchi. Akizungumza katika hafla hiyo, Rais Samia alieleza kuwa Tamasha la Kizimkazi limekuwa na mchango mkubwa katika kuleta maendeleo, kwani…

Read More

WAFUNGWA 13 WAKIMBIA KITUO CHA POLISI, AKIHUSISHWA MSHUKIWA WA MAUAJI YA KWARE – MWANAHARAKATI MZALENDO

Kamanda wa Kaunti ya Nairobi, Adamson Bunge, ametangaza kuwa wafungwa 13, akiwemo mshukiwa wa mauaji ya Kware, Collins Jumaisi, wametoroka kutoka Kituo cha Polisi cha Gigiri. Bunge alitoa taarifa hiyo lakini hakutoa maelezo zaidi kuhusu tukio hilo la kushtua. Collins Jumaisi, ambaye amekuwa akihusishwa na sakata la miili iliyookotwa katika eneo la Kware, amekana kujihusisha…

Read More

‘Yatch’ iliyombeba bilionea, familia yake yazama baharini

Italia. Msako wa kuwatafuta watu sita waliokuwamo ndani ya boti ya kifahari maarufu ‘Yatch’ iliyozama kwenye Bahari ya Mediterenian karibu na eneo la Porticello nchini Italia, unaendelea asubuhi hii. Boti hilo la kifahari lilidaiwa kuzama jana Jumatatu asubuhi Agosti 19, 2024 ambamo ndani yake kulikuwa na tajiri kutoka nchini Uingereza Mike Lynch, binti yake mwenye…

Read More