RAIS WA TLS AHOJI MAMLAKA YA WAZIRIKATIKA KUFUTA VIJIJI NA VITONGOJI KATIKA ENEO LA NGORONGORO – MWANAHARAKATI MZALENDO

Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, amehoji uhalali wa hatua iliyochukuliwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), ya kufuta baadhi ya vijiji na vitongoji vilivyopo katika eneo la Ngorongoro. Mwabukusi, akizungumza asubuhi ya Jumanne, Agosti 20, 2024, jijini Dar es Salaam, alieleza…

Read More

Tido Mhando afichua kilichoiponza Tanzania Olimpiki – 2

USHINDI ule wa medali ya dhahabu ya michezo ya Jumuiya ya Madola huko Christchurch, Newzealand, 1974, ukiambatana na rekodi ya dunia ulimweka Fibert Bayi juu kabisa ya orodha ya wanariadha bora duniani na kwa hakika kulipaisha sana jina la Tanzania. Nakumbuka wakati mmoja niliambatana na timu ya Simba kwenda Nigeria na mara tu tulipofika hotelini…

Read More

NFRA yajivunia kufikisha mauzo ya nafaka tani mil. 1.7

  IMEELEZWA kuwa katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita, uwezo wa Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) ulikuwa kuuza wastani wa tani 50,000 za nafaka, lakini baada ya taasisi hiyo kujengewa uwezo imefikisha hadi tani 1,750,000 kupitia mauzo ya nafaka yanayofanyika ndani na nje ya nchi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma……

Read More

JESHI LA POLISI LINDI LAWAKAMATA NG’OMBE 300 WALIOHARIBU MAZAO KIJIJI CHA NAMKATILA – MWANAHARAKATI MZALENDO

Jeshi la Polisi mkoani Lindi limefanikiwa kukamata zaidi ya ng’ombe 300 katika kijiji cha Namkatila, wilaya ya Ruangwa, kwa kosa la kuharibu mazao kwenye shamba la mmoja wa wananchi wa kijiji hicho. Tukio hili lilitokea tarehe 19 Agosti 2024, na linadhihirisha juhudi za polisi katika kuhakikisha amani na utulivu vinaendelea kutawala katika maeneo ya kilimo…

Read More

Watafiti UDSM waleta kicheko kwa wafugaji samaki

Dodoma. Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimevumbua teknolojia ya kuwafanya samaki wasiwe na jinsi, lengo likiwa ni kupunguza gharama za ufugaji. Aidha, chuo hicho kimevumbua malighafi mbadala ya utengazaji wa chakula cha samaki ambapo badala ya kutumia kundekunde na dagaa, wanatumia unga wa mmea unaojulikana kama ‘phytoplankton’. Phytoplankton ni mimea midogo sana inayozunguka…

Read More

Dube apewa sharti Yanga SC

WAKATI Prince Dube namba zake zikionekana kuwa nzuri katika kucheka na nyavu ndani ya Yanga, kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amempa sharti ambalo anaamini kama mshambuliaji huyo akilifuata, basi atakuwa hatari zaidi mbele ya lango la wapinzani. Dube ambaye amejiunga na Yanga dirisha kubwa la usajili msimu huu baada ya kuvunja mkataba ndani…

Read More

Wawili wafariki dunia ajalini Shinyanga, 46 wajeruhiwa

Shinyanga. Watu wawili wamefariki dunia na wengine 46 kujeruhiwa baada ya basi la Happy Nation na daladala ya Kampuni ya LBS kugongana eneo la Savannah Mkoa wa Shinyanga. Taarifa ya vifo hivyo imetolewa jana na Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga mkoani humo, Julius Mtatiro, akisema ajali hiyo ilihusisha magari yote yaliyokuwa yakitokea Mkoa wa Mwanza….

Read More

Fadlu, Awesu kuna kitu kinapikwa

KUNA kitu kinakuja. Hiyo ni kauli ya Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids wakati akiendelea kujenga timu yenye wachezaji 15 wapya. Miongoni mwa wachezaji hao yupo kiungo Awesu Awesu ambaye timu hiyo ilipambana vilivyo siku ya mwisho ya dirisha la usajili msimu huu kumalizana na KMC ili atue Msimbazi. Simba katika usajili wa dirisha hili…

Read More