Upelelezi kesi ya aliyekua kocha Simba badobado

UPANDE wa mashtaka katika kesi ya kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroin inayomkabili aliyekuwa kocha wa makipa wa Simba, Muharami Sultan (40) na wenzake umedai kuwa bado unaendelea na upelelezi wa shauri hilo. Sultan na wenzake watano wanakabiliwa na mashtaka manane yakiwemo ya kusafirisha dawa hizo zenye uzito wa kilo 34.89 pamoja na kutakatisha…

Read More

Mkutano mkuu wa Democratic kuanza – DW – 19.08.2024

Mkutano huu wa siku nne unaoanza Jumatatu (Agosti 19), ni kilele cha safari ya takribani mwezi mmoja ya chama cha Democratic kuchaguwa mbadala wa Joe Biden kwenye kuwania kiti cha urais, kupambana na Donald Trump wa Republican, huku maoni ya wapigakura yakionesha kuwa wawili hao wanachuana vikali kuelekea tarehe4 Novemba.  Wademocrat wanafunguwa mkutano wa leo…

Read More